Author: Charles Adika
-
MUSTAKABALI WA NPR WAENDELEA KUIBUA HISIA BONDE LA KERIO.
Hisia mbalimbali zinaendelea kutolewa kuhusiana na kauli ya Naibu wa Rais William Ruto ya kurejesha Askari wa Akiba waliofutwa kazi ikiwa ni mpango wake wa kuimarisha amani miongoni mwa jamii […]
-
MASHIRIKA YA KIJAMII YABUNI JUKWAA LA KUKABILI MIMBA ZA MAPEMA POKOT MAGHARIBI.
Visa vya mimba za mapema miongoni mwa watoto wa kike wenye umri mdogo vimeendelea kuripotiwa nchini hasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wengi wa watoto wa kike wakishindwa kuendelea […]
-
RAIS KENYATA ASUTWA KWA UTOVU WA MAADILI.
Mbunge wa kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amemsuta vikali rais Uhuru Kenyatta kwa kile amesema kutoonyesha maadili yanayofaa kwa kiongozi wa hadhi yake kinyume na walivyofanya […]
-
ONYO YATOLEWA KWA WANAOVURUGA MABANGO YA KAMPENI YA WAPINZANI WAO.
Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC imetoa onyo kwa wafuasi wa wanasiasa tofauti kuharibu mabango ya wanasiasa ambao ni wapinzani wa wale wanaowaunga mkono katika uchaguzi mkuu wa […]
-
UMILIKI WA ARDHI YA MUMBAI FARM TRANS NZOIA WAZIDI KUZUA UTATA WAKAZI WAKILILIA HAKI YAO.
Wanachama zaidi ya alfu moja washirika la Mumbai Farm wanaitaka serkali kuingilia kati na kuwapa maakazi kutokana na mahangaiko ya zaidi ya miaka 30 kupigania umiliki wa ardhi ya zaidi […]
Top News










