Author: Charles Adika
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YASUTWA KWA ‘UTENDAKAZI DUNI’.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewasuta vikali viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ambao wanawania nyadhifa za uongozi katika uchaguzi mkuu wa mwezi agosti, anaodai kuwa […]
-
“MLINICHEZEA KISIASA, NITAWACHEZEA KISIASA.” KAULI YAKE LONYANGAPUO KUHUSU MSAADA WA CHAKULA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi John Lonyangapuo amepuuzilia mbali madai ya baadhi ya viongozi wa kisiasa kaunti hii kwamba anatumia msaada wa chakula uliotolewa na serikali kwa ajili ya […]
-
LONYANGAPUO AAHIDI USHIRIKIANO WA SERIKALI YAKE NA VIONGOZI WA DINI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi John Lonyangapuo ameahidi kushirikiana kikamilifu na viongozi wa kidini katika serikali yake iwapo atachaguliwa tena kuongoza kaunti hii kwa muhula wa pili katika uchaguzi […]
-
MAANDALIZI YA UCHAGUZI AGOSTI 9 YAENDELEA KUIBUA TUMBO JOTO.
Tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC imetakiwa kuwa na msimamo mmoja kuhusu maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwezi agosti.Ni wito ambao umetolewa na seneta wa kaunti ya Pokot magharibi […]
Top News









