Author: Charles Adika
-
WITO UMETOLEWA KWA TUME HURU YA UCHAGUZI IEBC KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI KUENDESHA UCHAGUZI KWA UWAZI
Mwaniaji ugavana kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia chama cha UDA Simon Kachapin amewasuta wapinzani wake wa kisiasa kwa kile amedai kutoa matamshi yanayoashiria kuwa watashirikiana na tume ya uchaguzi […]
-
NAIBU WA RAIS WILIAM RUTO ANATARAJIWA KUZURU KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Mwaniaji urais wa chama cha UDA William Ruto anatarajiwa leo kuzuru kaunti hii ya Pokot maghari kuongoza kampeni za muungano wa Kenya kwanza katika juhudi za kutafuta uungwaji mkono kutoka […]
-
WAKAAZI WA LORENG’O TURKANA KASKAZINI WAKOSA MVUA KWA ZAIDI YA MIAKA MINNE SASA
Mamia ya wakazi wa eneo la loreng’o, turkana kaskazini wanakabiliwa na hatari ya kuangamia kutokana na ukosefu wa chakula kufuatia kiangazi cha mda mrefu.Wenyeji eneo hilo wakiongozwa na naibu chufu […]
Top News








