Author: Charles Adika
-
LONYANGAPUO ASUTWA KWA KUKITHIRI UFISADI KWENYE SERIKALI YAKE.
Mwaniaji ugavana katika kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendeleza shutuma dhidi ya gavana wa sasa ambaye pia anatetea kiti hicho kupitia chama cha KUP John Lonyangapuo kwa madai ya […]
-
IEBC YAENDELEZA MAANDALIZI YA UCHAGUZI SIKU 6 TU KABLA UCHAGUZI WA AGOSTI 9.
Siku 6 tu kabla ya uchaguzi mkuu wa tarehe 9 mwezi huu wa agosti, tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC imeendelea kuweka mikakati ya awamu za lala salama […]
-
HOSPITALI YA RUFAA TRANS NZOIA YAFUNGULIWA RASMI.
Gavana wa Kaunti ya Trans Nzoia Patrick Khaemba amefungua rasmi hospitali kuu ya mafunzo na rufaa mjini Kitale, na kuanza kutoa huduma za afya na vipimo kwa magonjwa kama vile […]
-
RAIS ATAKIWA KUOMBA MSAMAHA KUFUATIA GHARAMA YA JUU YA MAISHA.
Kinara wa chama cha FORD Kenya Moses Wentangula amemtaka Rais Uhuru Kenyatta kuwaomba wakenya Msamaha kutokana na gharama ya juu ya maisha swala analosema limetokana na serikali kutotilia maanani maswala […]
-
HISIA KALI ZAENDELEA KUFUATIA UHABA WA UNGA WA BEI NAFUU.
Mwakilishi kina mama kaunti ya Trans nzoia Janet Nangabo amemtaka waziri wa kilimo Peter Munya kuingilia kati na kuhakikisha unga wa bei nafuu uliotangazwa na serikali unapatikana madukani ilikuhakikisha wakazi […]
Top News








