Author: Charles Adika
-
WANASIASA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTOHITILAFIANA NA MAJUKUMU YA WANAHABARI.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewasuta baadhi ya wanasiasa katika kaunti hii kwa kile amedai kutumia makundi ya vijana kuwatishia wanahabari wanapotekeleza majukumu yao ya kuwaarifu […]
-
‘BABA’ KUZURU WANAWE WAWILI POKOT MAGHARIBI.
Mgombea urais wa chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya Raila Odinga na mgombea mwenza wake Martha Karua wanatarajiwa leo kuzuru kaunti hii ya Pokot magharibi kuendeleza kampeni […]
-
VIJANA WAPIGWA JEKI KUPITIA UZINDUZI WA KITUO CHA ICT ENDEBES.
Mbunge wa Endebess kaunti ya Trans nzoia Dkt Robert Pukose amezindua rasmi kituo cha kutoa huduma za mtandao ICT eneo bunge hilo ili kuwasaidia vijana na wenyeji eneo hilo kufanya […]
Top News








