Author: Charles Adika
-
TAHARUKI YAENDELEA KUTANDA OMBOLION MTU MMOJA AKIULIWA NA WAVAMIZI.
Hali ya taharuki imetanda katika eneo la ombolion, turkwel mpakani mwa kaunti za pokot magharibi na turkana baada ya kijana wa miaka 18 kuuliwa na wavamizi wanaoshukiwa kutoka kaunti jirani […]
-
RAIA WA ERITREA WATARAJIWA KUFIKISHWA KATIKA MAHAKAMA YA KAPENGURIA KWA KUPATIKANA NCHINI KINYUME CHA SHERIA.
Raia 41 kutoka Eritrea walionaswa jumanne eneo la Kanyarkwat eneo bunge la Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi wakiwa nchini bila stakabadhi za kuhalalalisha uwepo wao nchini wanataraji wa jumatano […]
Top News







