Author: Charles Adika
-
NAIBU WA RAIS WILIAM RUTO ANATARAJIWA KUZURU KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Mwaniaji urais wa chama cha UDA William Ruto anatarajiwa leo kuzuru kaunti hii ya Pokot maghari kuongoza kampeni za muungano wa Kenya kwanza katika juhudi za kutafuta uungwaji mkono kutoka […]
-
WAKAAZI WA LORENG’O TURKANA KASKAZINI WAKOSA MVUA KWA ZAIDI YA MIAKA MINNE SASA
Mamia ya wakazi wa eneo la loreng’o, turkana kaskazini wanakabiliwa na hatari ya kuangamia kutokana na ukosefu wa chakula kufuatia kiangazi cha mda mrefu.Wenyeji eneo hilo wakiongozwa na naibu chufu […]
-
LONYANGAPUO ASUTWA KWA KUTOCHUKUA HATUA KUKABILI BAA LA NJAA POKOT MAGHARIBI.
Mbunge wa kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amemsuta gavana wa kaunti hii John Lonyangapuo kwa kile amedai kutowajibika katika kushughulikia baa la njaa ambalo linashuhudiwa katika baadhi […]
-
RAILA AAHIDI KUSHUGHULIKIA UTOVU WA USALAMA KERIO VALLEY.
Mgombea urais wa muungano wa azimio Raila Odinga ameahidi kuweka mikakati ya kuimarisha usalama kwenye kaunti za Pokot magharibi, Baringo Elgeyo marakwet na Turkana iwapo atachaguliwa rais katika uchaguzi mkuu […]
-
WASAGAJI NAFAKA TRANS NZOIA WADINDA KUSHUSHA BEI YA UNGA.
Wasagaji nafaka mjini Kitale katika kaunti ya Trans nzoia wamesema kuwa hawatakubali kuuza unga wa mahindi pakiti kilo mbili kwa shilingi 100 hadi serikali itakapowafidia.Wakiongozwa na Robert Wanyonyi, wasagaji nafaka […]
Top News









