Author: Charles Adika
-
HALI YA USALAMA YATIWA KWENYE MIZANI BONDE LA KERIO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU.
Uchaguzi mkuu wa agosti 9 ukitarajiwa kuandaliwa hapo kesho, waathiriwa wa uvamizi katika eneo bunge la baringo kaskazini na kusini sasa wanaitaka serikali kuimarisha usalama katika maeneo hayo ili kuwawezesha […]
-
MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU JUMANNE YAKAMILIKA.
Masaa machache tu kabla ya uchaguzi mkuu wa jumanne juma hili tume ya uchaguzi IEBC imesema kuwa maandalizi yamekamilika kwa ajili ya uchaguzi huo.Afisa wa tume hiyo eneo bunge la […]
-
MIITO YA AMANI YAENDELEA KUTOLEWA CHINI YA MASAA 24 KABLA YA UCHAGUZI WA JUMANNE.
Ikiwa yamesalia chini ya masaa machache tu kabla ya uchaguzi mkuu wa hapo kesho jumanne, viongozi kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kutoa wito kwa wananchi kudumisha amani ili kuwe […]
-
MIITO YA KUDUMISHWA AMANI YAZIDI KUTOLEWA SIKU 4 TU KABLA YA UCHAGUZI MKUU.
Siku nne tu kabla ya uchaguzi mkuu wa jumanne juma lijalo mwaniaji ugavana katika kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia chama cha UDA Simon Kachapin ametoa wito kwa wakazi wa […]
-
IEBC YAWAHAKIKISHIA WAKENYA KUKAMILIKA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU.
Tume huru ya uchaguzi nchini IEBC imewahakikishia wakenya kuwa maandalizi yote yamekamilika kuelekea uchaguzi mkuu wa wiki ijayo.Akizungumza katika mahojiano na kituo hiki afisa msimamizi wa uchaguzi wa tume hiyo […]
Top News










