Author: Charles Adika
-
RAIS KENYATA ASUTWA KWA UTOVU WA MAADILI.
Mbunge wa kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amemsuta vikali rais Uhuru Kenyatta kwa kile amesema kutoonyesha maadili yanayofaa kwa kiongozi wa hadhi yake kinyume na walivyofanya […]
-
ONYO YATOLEWA KWA WANAOVURUGA MABANGO YA KAMPENI YA WAPINZANI WAO.
Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC imetoa onyo kwa wafuasi wa wanasiasa tofauti kuharibu mabango ya wanasiasa ambao ni wapinzani wa wale wanaowaunga mkono katika uchaguzi mkuu wa […]
-
UMILIKI WA ARDHI YA MUMBAI FARM TRANS NZOIA WAZIDI KUZUA UTATA WAKAZI WAKILILIA HAKI YAO.
Wanachama zaidi ya alfu moja washirika la Mumbai Farm wanaitaka serkali kuingilia kati na kuwapa maakazi kutokana na mahangaiko ya zaidi ya miaka 30 kupigania umiliki wa ardhi ya zaidi […]
-
WITO UMETOLEWA KWA TUME HURU YA UCHAGUZI IEBC KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI KUENDESHA UCHAGUZI KWA UWAZI
Mwaniaji ugavana kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia chama cha UDA Simon Kachapin amewasuta wapinzani wake wa kisiasa kwa kile amedai kutoa matamshi yanayoashiria kuwa watashirikiana na tume ya uchaguzi […]
Top News








