Author: Charles Adika
-
IDARA YA POLISI POKOT MAGHARIBI YAHUSISHWA KATIKA UPANZI WA MITI.
Wito umetolewa kwa vijana katika kaunti hii ya Pokot magharibi kujitenga na maswala ya uhalifu na badala yake kujihusisha na shughuli zitakazowapelekea kupata riziki zao za kila siku.Akizungumza baada ya […]
-
MUSTAKABALI WA NPR WAENDELEA KUIBUA HISIA BONDE LA KERIO.
Hisia mbalimbali zinaendelea kutolewa kuhusiana na kauli ya Naibu wa Rais William Ruto ya kurejesha Askari wa Akiba waliofutwa kazi ikiwa ni mpango wake wa kuimarisha amani miongoni mwa jamii […]
-
MASHIRIKA YA KIJAMII YABUNI JUKWAA LA KUKABILI MIMBA ZA MAPEMA POKOT MAGHARIBI.
Visa vya mimba za mapema miongoni mwa watoto wa kike wenye umri mdogo vimeendelea kuripotiwa nchini hasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wengi wa watoto wa kike wakishindwa kuendelea […]
Top News








