Author: Charles Adika
-
LUMUNOKOL ASHUTUMU VURUGU ZILIZOSHUHUDIWA NASOKOL
Mbunge wa Kacheliba ambaye ni mwenyekiti wa chama cha UDA katika kaunti hii ya Pokot magharibi Mark Lumnokol ameshutumu kisa cha kupatikana mwanamke mmoja akitia saini makaratasi ya kupigia kura […]
-
CHAGUZI ZA UBUNGE POKOT KUSINI NA KACHELIBA ZAAHIRISHWA.
Uchaguzi maeneo bunge ya kacheliba na Pokot kusini katika kaunti hii ya Pokot magharibi umesitishwa.Kulingana na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi IEBC Wafula Chebukati uamuzi huo uliafikiwa kufuatia mkanganyiko kwenye […]
-
WAKENYA WAINGIA DEBENI HUKU IDARA YA POLISI IKIWAHAKIKISHIA USALAMA.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wanapoendelea kujitokeza katika shughuli ya upigaji kura idara ya polisi kaunti hii imetoa wito kwa wote wanaoshiriki zoezi hilo kuhakikisha kuwa wanarejea makwao […]
Top News







