Author: Charles Adika
-
RAIS ATAKIWA KUOMBA MSAMAHA KUFUATIA GHARAMA YA JUU YA MAISHA.
Kinara wa chama cha FORD Kenya Moses Wentangula amemtaka Rais Uhuru Kenyatta kuwaomba wakenya Msamaha kutokana na gharama ya juu ya maisha swala analosema limetokana na serikali kutotilia maanani maswala […]
-
HISIA KALI ZAENDELEA KUFUATIA UHABA WA UNGA WA BEI NAFUU.
Mwakilishi kina mama kaunti ya Trans nzoia Janet Nangabo amemtaka waziri wa kilimo Peter Munya kuingilia kati na kuhakikisha unga wa bei nafuu uliotangazwa na serikali unapatikana madukani ilikuhakikisha wakazi […]
-
VYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUZINGATIA SHERIA ZA UCHAGUZI.
Tume ya uchaguzi nchini IEBC imetoa wito kwa vyama vya kisiasa kaunti hii ya Pokot magharibi kuhakikisha kwamba vinazingatia sheria za uchaguzi kikamilifu taifa linapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa tarehe […]
-
NATEMBEYA AKANA KUWEPO NJAMA YA KUWAFURUSHA WAKAAZI KATIKA MASHAMBA YA KITALALE.
Aliyekuwa mshirikishi wa eneo la bonde la ufa ambaye pia anawania kiti cha ugavana kaunti ya Trans nzoia George Natembeya amejitenga na madai kwamba yuko na njama ya kuwafurusha wakazi […]
-
MHUDUMU WA BODABODA AENEZA UJUMBE WA AMANI BARINGO.
Baada ya kaunti ya baringo kuorodheshwa miongoni mwa kaunti 10 zenye uwezekano mkubwa wa kushuhudia ghasia za baada ya uchaguzi, mhudumu mmoja wa bodaboda katika kaunti hiyo amechukua jukumu la […]
Top News










