Author: Charles Adika
-
KACHAPIN ATEULIWA TENA GAVANA WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI.
Mwaniaji ugavana katika kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia chama cha UDA Simon Kachapin hatimaye ametangazwa mshindi katika kinyang’anyiro cha ugavana kaunti hii.Hii ni baada yake Kachapin kuibuka mshindi kwenye […]
-
LOCHAKAPONG APONGEZA UTEUZI WAKE.
Mbunge wa Sigor katika kaunti hii ya Pokot magharibi ameahidi kushirikiana na viongozi wote eneo hilo ili kuhakikisha kuwa wakazi wa eneo hilo wananufaika kimaendeleo.Akizungumza baada ya kuhifadhi kiti hicho, […]
-
MIITO YA AMANI YATOLEWA IEBC IKIENDELEA KUWATANGAZA WASHINDI WA UCHAGUZI.
Miito imeendela kutolewa kwa wananchi kuendela kuwa na subira wakati tume ya uchaguzi IEBC inapoendelea kusubiriwa kutangaza matokeo ya wawaniaji wa viti mbali mbali katika shughuli ya upigaji kura ambayo […]
Top News








