Author: Charles Adika
-
RUTO APONGEZA UCHAGUZI WAKE AKIMIMINIA SIFA IEBC.
Rais mteule William Samoei Ruto amewapongeza wakenya ambao walijitokeza kupiga kura na kuhakikisha kuwa anatwaa uongozi wa taifa hili.Akizungumza baada ya kutangazwa rasmi kuwa rais wa tano wa taifa hili, […]
-
WILLIAM RUTO ATANGAZWA RAIS WA TANO WA KENYA.
Hatimaye naibu rais William Ruto aliyewania urais kupitia chama cha UDA ametangazwa rasmi rais mteule wa taifa hili la Kenya.Akitangaza rasmi matokeo hayo mwenyekiti wa tume ya uchaguzi na mipaka […]
-
KACHAPIN AAHIDI KUBADILISHA SURA YA POKOT MAGHARIBI.
Kaunti ya pokot magharibi imepata sura mpya baada ya Gavana mteule wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin kuahidi kuhakikisha kuwa anatumia miaka mitano ambayo amekabidhiwa kuongoza kaunti hii […]
Top News







