Author: Charles Adika
-
MIITO YA KUDUMISHWA AMANI YAZIDI KUTOLEWA SIKU 4 TU KABLA YA UCHAGUZI MKUU.
Siku nne tu kabla ya uchaguzi mkuu wa jumanne juma lijalo mwaniaji ugavana katika kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia chama cha UDA Simon Kachapin ametoa wito kwa wakazi wa […]
-
IEBC YAWAHAKIKISHIA WAKENYA KUKAMILIKA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU.
Tume huru ya uchaguzi nchini IEBC imewahakikishia wakenya kuwa maandalizi yote yamekamilika kuelekea uchaguzi mkuu wa wiki ijayo.Akizungumza katika mahojiano na kituo hiki afisa msimamizi wa uchaguzi wa tume hiyo […]
-
TAHARUKI YAENDELEA KUTANDA OMBOLION MTU MMOJA AKIULIWA NA WAVAMIZI.
Hali ya taharuki imetanda katika eneo la ombolion, turkwel mpakani mwa kaunti za pokot magharibi na turkana baada ya kijana wa miaka 18 kuuliwa na wavamizi wanaoshukiwa kutoka kaunti jirani […]
-
RAIA WA ERITREA WATARAJIWA KUFIKISHWA KATIKA MAHAKAMA YA KAPENGURIA KWA KUPATIKANA NCHINI KINYUME CHA SHERIA.
Raia 41 kutoka Eritrea walionaswa jumanne eneo la Kanyarkwat eneo bunge la Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi wakiwa nchini bila stakabadhi za kuhalalalisha uwepo wao nchini wanataraji wa jumatano […]
Top News










