Author: Charles Adika
-
WAKENYA WAINGIA DEBENI HUKU IDARA YA POLISI IKIWAHAKIKISHIA USALAMA.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wanapoendelea kujitokeza katika shughuli ya upigaji kura idara ya polisi kaunti hii imetoa wito kwa wote wanaoshiriki zoezi hilo kuhakikisha kuwa wanarejea makwao […]
-
HALI YA USALAMA YATIWA KWENYE MIZANI BONDE LA KERIO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU.
Uchaguzi mkuu wa agosti 9 ukitarajiwa kuandaliwa hapo kesho, waathiriwa wa uvamizi katika eneo bunge la baringo kaskazini na kusini sasa wanaitaka serikali kuimarisha usalama katika maeneo hayo ili kuwawezesha […]
-
MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU JUMANNE YAKAMILIKA.
Masaa machache tu kabla ya uchaguzi mkuu wa jumanne juma hili tume ya uchaguzi IEBC imesema kuwa maandalizi yamekamilika kwa ajili ya uchaguzi huo.Afisa wa tume hiyo eneo bunge la […]
-
MIITO YA AMANI YAENDELEA KUTOLEWA CHINI YA MASAA 24 KABLA YA UCHAGUZI WA JUMANNE.
Ikiwa yamesalia chini ya masaa machache tu kabla ya uchaguzi mkuu wa hapo kesho jumanne, viongozi kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kutoa wito kwa wananchi kudumisha amani ili kuwe […]
Top News









