Author: Charles Adika
-
MIITO YA AMANI YATOLEWA IEBC IKIENDELEA KUWATANGAZA WASHINDI WA UCHAGUZI.
Miito imeendela kutolewa kwa wananchi kuendela kuwa na subira wakati tume ya uchaguzi IEBC inapoendelea kusubiriwa kutangaza matokeo ya wawaniaji wa viti mbali mbali katika shughuli ya upigaji kura ambayo […]
-
LUMUNOKOL ASHUTUMU VURUGU ZILIZOSHUHUDIWA NASOKOL
Mbunge wa Kacheliba ambaye ni mwenyekiti wa chama cha UDA katika kaunti hii ya Pokot magharibi Mark Lumnokol ameshutumu kisa cha kupatikana mwanamke mmoja akitia saini makaratasi ya kupigia kura […]
-
CHAGUZI ZA UBUNGE POKOT KUSINI NA KACHELIBA ZAAHIRISHWA.
Uchaguzi maeneo bunge ya kacheliba na Pokot kusini katika kaunti hii ya Pokot magharibi umesitishwa.Kulingana na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi IEBC Wafula Chebukati uamuzi huo uliafikiwa kufuatia mkanganyiko kwenye […]
Top News








