Author: Charles Adika
-
KACHAPIN AAHIDI KUBADILISHA SURA YA POKOT MAGHARIBI.
Kaunti ya pokot magharibi imepata sura mpya baada ya Gavana mteule wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin kuahidi kuhakikisha kuwa anatumia miaka mitano ambayo amekabidhiwa kuongoza kaunti hii […]
-
KACHAPIN ATEULIWA TENA GAVANA WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI.
Mwaniaji ugavana katika kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia chama cha UDA Simon Kachapin hatimaye ametangazwa mshindi katika kinyang’anyiro cha ugavana kaunti hii.Hii ni baada yake Kachapin kuibuka mshindi kwenye […]
-
LOCHAKAPONG APONGEZA UTEUZI WAKE.
Mbunge wa Sigor katika kaunti hii ya Pokot magharibi ameahidi kushirikiana na viongozi wote eneo hilo ili kuhakikisha kuwa wakazi wa eneo hilo wananufaika kimaendeleo.Akizungumza baada ya kuhifadhi kiti hicho, […]
Top News







