Author: Charles Adika
-
FURAHA YA KUUNGANA NA JAMAA BAADA YA ZAIDI YA MIAKA MIWILI.
Wananchi wametakiwa kuwatunza vyema jamaa zao wenye matatizo ya akili kutokana na changamoto zinazotokana na watu hao katika jamii, na vile vile kufanya mazoea kutumia idara ya polisi kuwasaka iwapo […]
-
RUTO APONGEZA UCHAGUZI WAKE AKIMIMINIA SIFA IEBC.
Rais mteule William Samoei Ruto amewapongeza wakenya ambao walijitokeza kupiga kura na kuhakikisha kuwa anatwaa uongozi wa taifa hili.Akizungumza baada ya kutangazwa rasmi kuwa rais wa tano wa taifa hili, […]
-
WILLIAM RUTO ATANGAZWA RAIS WA TANO WA KENYA.
Hatimaye naibu rais William Ruto aliyewania urais kupitia chama cha UDA ametangazwa rasmi rais mteule wa taifa hili la Kenya.Akitangaza rasmi matokeo hayo mwenyekiti wa tume ya uchaguzi na mipaka […]
Top News







