Author: Charles Adika
-
RAILA AENDELEA KUSUTWA KWA KUWASILISHA KESI YA KUPINGA USHINDI WA RUTO.
Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi hasa wanaoegemea mrengo wa rais mteule William Ruto wameendelea kumsuta kinara wa chama cha muungano wa azimio la umoja […]
-
CHAGUZI ZILIZOAHIRISHWA MENEO MBALI MBALI NCHINI HATIMAYE ZAANDALIWA LEO.
Baada ya subira ya muda sasa wakazi wa eneo bunge la pokot kusini na kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi wanaungana na wakazi wa maeneo mengine nchini ambako chaguzi […]
-
HISIA ZA ENDELEA KUTOLEWA BAADA YA KUAPISHWA KWA GAVANA SIMON KACHAPIN KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Viongozi mbali mbali wa kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kupongeza kuapishwa rasmi gavana wa kaunti hii Simon Kachapin kuanza tena kuhudumu kama gavana wa kaunti hii.Wakiongozwa na mbunge wa […]
-
VIONGOZI WA KENYA KWANZA WAENDELEZA KAMPEINI KATIKA MAENEOBUNGE YA POKOT KUSINI NA KACHELIBA KAUNTI YA POKOT
Viongozi mbalimbali wa Muungano wa Kenya Kwanza wakiongozwa na Naibu Rais Mteule Rigathi Gachagua wanatarajiwa kuzuru Kaunti ya Pokot Magharibi leo hii siku mbili kabla ya uchaguzi uliohairishwa ambao utafanyika […]
Top News










