Author: Charles Adika
-
MAHAKAMA YA JUU YAANZA VIKAO VYA KUSIKILIZA KESI YA KUPINGA USHINDI WA RUTO.
Jopo la majaji 7 wa mahakama ya juu hatimaye limeanza vikao vyake vya kusikiliza rufaa kuhusu matokeo ya uchaguzi wa urais likiwa limeweka maswala 9 makuu kwenye rufaa hizo ambayo […]
-
MAGAVANA WAPYA WANZA RASMI KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO.
Siku chache tu baada ya magavana 45 kula kiapo na kuahidi kufanyia wananchi kazi sasa magavana hao wameanza rasmi majukumu yao.Ikiwa ni siku ya kwanza kuingia ofisini tangu kuchaguliwa kwake […]
-
MRADI WA UNYUNYIZIAJI MAJI MASHAMBA WA PARASANY WAKAMILIKA.
Shirika la SEFA limekabidhi rasmi mradi wa unyunyiziaji maji mashamba wa parasanyi ambao umetelezwa chini ya mpango wa ustahimilivu kwa usimamizi wa serikali ya kaunti hii. Akizungumza katika hafla ya […]
-
VIJANA WAHIMIZWA KUKUMBATIA KOZI ZA UHANDISI.
Wito umetolewa kwa vijana wa kike kujitokeza kwa wingi na kusomea kozi za uhandisi na kupuuzilia mbali dhana ya kuwa baadhi ya taaluma na kazi ni za vijana wa kiume […]
-
KUP CHAIKARANGA UDA POKOT KUSINI NA KACHELIBA.
Hatimaye David Pkosing amehifadhi kiti chake katika Eneo bunge la Pokot Kusini kaunti hii ya Pokot magharibi baada ya kumpiku mpinzani wake wa Chama Cha UDA Simon Kalekem kwa kura […]
Top News








