Author: Charles Adika
-
MASOMO YAREJELEWA BAADA YA LIKIZO YA UCHAGUZI.
Shughuli za masomo zinaporejelewa leo baada ya kufungwa shule kwa kipindi cha majuma mawili ili kupisha maandalizi ya uchaguzi mkuu, wazazi wametakiwa kuhakikisha kuwa wanao wanarejea shuleni kwa wakati unaofaa.Akizungumza […]
-
HOSPITALI YA KACHELIBA YASUTWA KWA KUWANYANYASA WAFANYIKAZI.
Wafanyikazi katika hospitali ya Kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia hali ngumu ya maisha ambayo wanapitia wanapoendeleza shughuli zao katika hospitali hiyo.Wafanyikazi hao wamelalamika kulipwa fedha kidogo licha ya […]
-
RUTO ATAKIWA KUFANYA MAPATANO NA WAKOSOAJI WAKE
Rais mteule William Ruto ameendelea kupokea shinikizo za kufanya mapatano na viongozi waliokuwa wakosoaji wake wakumbwa katika kipindi ambacho alikuwa akihudumu kama naibu rais.Tom Juma ambaye ni mwenyekiti wa chama […]
Top News









