News
-
RIPOTI YA GIZ YABAINISHA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WAFUGAJI POKOT MAGHARIBI.
Wakulima hasa wafugaji katika kaunti ya Pokot Magharibi wametakiwa kutunza vyema mazingira na kutumia misimu ya mvua kupanda nyasi ya kutosha na aina fulani ya miti ambayo hutumika kama chakula […]
-
JAMII YA NAIBU CHIFU ALIYEJINYONGA KISHAUNET YATAKA UCHUNGUZI WA KINA KUHUSIANA NA KISA HICHO.
Jamii ya naibu chifu wa Kishaunet katika kaunti ya Pokot magharibi aliyefariki kwa kujinyonga Benson Sialuk sasa inataka uchunguzi kuendeshwa kubaini kilichosababisha kifo cha naibu chifu huyo.Wakiongozwa na mamake mwenda […]
-
WAFANYIKAZI WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WANAOHUDUMU KWA KANDARASI WALALAMIKIA KUFUTWA KAZI.
Baadhi ya wafanyikazi katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kile wamedai kufutwa kazi na serikali ya kaunti kupitia bodi ya huduma kwa umma wakihusisha hali hiyo na njama za kisiasa.Wafanyikazi […]
-
MZOZO WA UONGOZI KANISANI WAPELEKEA MAAFA NASOKOL.
Naibu chifu wa Kishaunet katika kaunti ya Pokot magharibi Benson Sialuk ameripotiwa kuaga dunia siku moja tu baada ya kuibuka ripoti za kupotea kwake hali inayohusishwa na mzozo wa uongozi […]
-
KACHAPIN APUUZILIA MBALI MADAI YA KUWAFUTA KAZI WAFANYIKAZI WA KAUNTI WALIOAJIRIWA NA JOHN LONYANGAPUO.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepinga vikali madai kwamba amewafuta kazi wafanyikazi wa umma waliokuwa wakihudumu katika serikali ya aliyekuwa gavana John Lonyangapuo punde alipoingia uongozini.Katika […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WASISITIZA HAJA YA KUPEWA KIPAU MBELE WAKAZI KATIKA ZOEZI LA USAJILI WA WALIMU.
Viongozi mbali mbali wa kisiasa katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuishinikiza tume ya huduma kwa walimu TSC kuhakikisha kwamba wanatendea haki wakazi wa kaunti hiyo kwa kuwapa kipau mbele […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAWAHAKIKISHIA WAZAZI MIPANGO YA KUTOA FEDHA ZA BASARI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amewahakikishia wazazi katika kaunti hiyo kwamba serikali yake inaendeleza mikakati ya kuhakikisha wanafunzi wanapata fedha za basari kufanikisha masomo yao. Akizungumza baada […]
-
TSC YATANGAZA KUANZA SHUGHULI YA KUWAAJIRI WALIMU ZAIDI POKOT MAGHARIBI WAKAZI WAKIONYWA DHIDI YA MATAPELI.
Tume ya huduma kwa walimu TSC kaunti ya Pokot magharibi imesema kwamba inanuia kuwaajiri walimu zaidi ili kushughulikia changamoto ya uhaba wa walimu katika shule za kaunti hiyo pamoja na […]
-
HALI YA KIANGAZI YAENDELEA KUWATIA HOFU WAKULIMA WA MIFUGO POKOT KUSINI.
Hali ya kiangazi ikizidi kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali nchini, Wakulima wa mifugo hasa ngombe kutoka eneo la Sepuser wadi ya Chepareria eneo bunge la pokot kusini kaunti ya Pokot Magharibi […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA KUTOWAKILISHWA VYEMA KATIKA SERIKALI YA KENYA KWANZA.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametoa wito kwa rais William Ruto kuhakikisha kwamba kaunti hii inawakilishwa vyema katika serikali yake. Wakiongozwa na Joseph Limasia mkazi wa eneo la […]
Top News










