News
-
IDARA YA TRAFIKI POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MIKAKATI YA KULETA NIDHAMU KATIKA SEKTA YA BODA BODA.
Wahudumu wa boda boda mjini Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuzingatia kikamilifu sheria za barabarani ili kuhakikisha kwamba nidhamu inadumishwa na kuzuia ajali za mara kwa mara.Akizungumza wakati […]
-
WIZARA YA ELIMU POKOT MAGHARIBI YATARAJIWA KUFANYIA UCHUNGUZI SHULE YA UPILI YA CHEPKORNISWO KUFUATIA MAANDAMANO YA WANAFUNZI.
Waziri wa elimu kaunti ya Pokot magharibi Rebecca Lotuliatum amelalamikia kisa cha wanafunzi wa shule ya upili ya Chepkorniswo eneo la pokot kusini kuandamana hadi afisi za kaunti mjini Kapenguria […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEA KUWEKA MIKAKATI YA KUHAKIKISHA USALAMA UNADUMISHWA.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imefungua barabara ya kutoka karawal kuelekea Kapushen hadi Kongolokwan mpakani pa maeneo bunge ya pokot kusini na Sigor kama baadhi ya juhudi za kuimarisha […]
-
RAIS RUTO ATAKIWA KUFANYA KILA JUHUDI KUMALIZA UHALIFU ULIOKITHIRI BONDE LA KERIO
.Viongozi mbali mbali kutoka eneo la bonde la kerio sasa wanamtaka rais William Ruto kufanya kila awezalo kuhakikisha kwamba usalama umerejeshwa eneo hilo na kukomesha mahangaiko ya wakazi kwenye maeneo […]
-
VISA VYA WATAHINIWA WA KCPE AMBAO HUENDA WAKAKOSA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA KUFUATIA KARO VYAZIDI KURIPOTIWA.
Wanafunzi waliofanya mtihani wa KCPE mwaka 2022 wakiendelea kuripoti katika shule mbali mbali za upili walizoitwa idadi ya wanafunzi wanaohitaji ufadhili wa kuendeleza elimu yao ya shule ya upili imeendelea […]
-
WADAU WATAKA JUHUDI KUELEKEZWA KWA MTOTO WA KIUME KATIKA JAMII
Wadau katika sekta ya elimu kaunti ya Pokot magharibi sasa wanaelezea haja ya juhudi kuelekezwa kwa mtoto mvulana katika jamii kuhakikisha kwamba anapata elimu.Akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa madarasa […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKA SHUGHULI ZA KENGEN KUREJESHWA TURKWEL.
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameisuta serikali kwa kile wamesema kwamba imehamisha shughuli za kampuni ya KenGen hadi mjini Kitale kaunti ya Trans nzoia.Wakiongozwa na mbunge wa […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTOTEGEMEA KILIMO CHA MIFUGO NA BADALA YAKE KUANGAZIA KILIMO MBADALA.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi kuendelea kusalia watulivu serikali inapoendeleza mikakati ya kuhakikisha kwamba wanapokea mbolea ya ruzuku baada ya kukamilika zoezi la kuwasajili wakulima watakaopokea […]
-
WAHISANI WAOMBWA KUWASAIDIA WAKAZI WANAOKABILIWA NA BAA LA NJAA POKOT MAGHARIBI.
Mbunge wa kacheliba kaunti ya Pokot magharibi Titus Lotee ametoa wito kwa wahisani wakiwemo mashirika yasiyo ya serikali kujitokeza na kuwasaidai wakazi wa kaunti hiyo ambao wanakabiliwa na baa la […]
-
VIONGOZI WASHINIKIZA KUBADILI MBINU ZINAZOTUMIKA KUKABILI WIZI WA MIFUGO BONDE LA KERIO.
Viongozi wa kaunti ya Pokot magharibi kwa ushirikiano na idara za usalama waliendeleza mikutano ya amani maeneo ya mipakani pa kaunti hiyo na kaunti jirani ambako kumekuwa kukishuhudiwa visa vya […]
Top News










