News
-
ONYO YATOLEWA KWA WACHOMAJI MAKAA ENEO LA RIWO, POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa eneo la Riwo kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kutunza vyema miti eneo hilo na kutojihusisha na shughuli ya ukataji miti kwa ajili ya kuendeleza biashara ya makaa. Ni […]
-
RAIS ATAKIWA KUCHUKUA HATUA NA KUMALIZA MARA MOJA ‘MCHEZO’ WA RAILA.
Mwakilishi wadi mteule kaunti ya Pokot magharibi Elijah Kasheusheu ametoa wito kwa rais William Ruto kusimama kidete na kukabiliana na vinara wa chama cha muungano wa azimio la umoja one […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MAFUNZO KWA WALIMU WA ECDE KUHUSU MTAALA WA CBC.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imeandaa warsha ya walimu wa chekechea ECDE ili kutoa mafunzo kwa walimu hao hasa kuhusu jinsi ya kuwashughulikia watoto kabla ya kujiunga na shule […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MIKAKATI YA KUIMARISHA HADHI YA MIJI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi inaendeleza mikakati kwa ushirikiano na idara mbali mbali kuhakikisha kwamba miji ya kapenguria na Chepareria inaimarika hata zaidi. Akizungumza wakati wa uteuzi wa wanachama […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUSHIRIKIANA KWA MANUFAA YA WAKAZI.
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ametoa wito kwa viongozi katika kaunti hiyo kushirikiana na kuweka maslahi ya wakazi mbele ili kuhakikisha kwamba wananufaika pakubwa chini ya […]
-
WANASIASA WALAUMIWA KUWA CHANZO CHA UTOVU WA USALAMA BONDE LA KERIO.
Viongozi wa kisiasa kutoka kaunti za bonde la kerio wamewahusisha baadhi ya wanasiasa na utovu wa usalama ambao umekithiri maeneo haya katika siku za hivi karibuni. Wakizungumza katika hafla moja […]
-
POGHISO AWASUTA WANASIASA KWA KUGEUZA HAFLA YA MAOMBI ILIYOONGOZWA NA RAIS KUWA UKUMBI WA MALUMBANO.
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amekosoa jinsi ambavyo viongozi wa kisiasa walijiendesha katika hafla ya shukrani iliyoongozwa na rais William Ruto katika uwanja wa makutano kaunti […]
-
WAKULIMA WAHIMIZWA KUKUMBATIA KILIMO CHA KAHAWA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi wamehimizwa kupanda kahawa kwa wingi ili kujiimarisha kimapato kando na kuhakikisha uchumi wa kaunti hii unaimarika. Akizungumza eneo la Tartar wakati wa mafunzo kwa […]
-
SERIKALI YA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI YAZINDUA USAMBAZAJI WA DAWA YA KIMA CHA SHILINGI MILIONI 40.
Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi imezindua rasmi shughuli ya usambazaji wa dawa za kima cha shilingi milioni 40 katika zahanati mbali mbali za kaunti, ambazo ilipokea kutoka kwa […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA POKOT NA MARAKWET
Viongozi kaunti ya Pokot Magharibi wameendelea kuishinikiza serikali kuimarisha usalama maeneo ya Kamologon kwa kuhakikisha kwamba maafisa zaidi wa usalama wanatumwa eneo hilo ambako watu wawili wameuliwa hivi majuzi na […]
Top News









