News
-
SERIKALI YATAKIWA KUONGEZA MGAO KWA MAENEO BUNGE ILI KUFANIKISHA MIRADI KATIKA SEKTA YA ELIMU.
Baadhi ya wabunge katika kaunti ya Pokot magharibi wameitaka serikali kuu kupitia wizara ya elimu kuongeza fedha ambazo zinatengewa maeneo bunge kufanikisha miradi kwenye shule mbali mbali. Wakiongoizwa na mbunge […]
-
WATOTO WAWILI WAUAWA HUKU ZAIDI YA MIFUGO 100 WAKIIBWA KATIKA UVAMIZI WA HIVI PUNDE TURKWEL.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wamekashifu vikali uvamizi uliotekelezwa na wahalifu wanaoaminika kutoka kaunti jirani katika kijiji cha Kamurio eneo la Turkwel ambapo waliiba zaidi ya mifugo 100 huku […]
-
TAMADUNI ZATAJWA KUWA KICHOCHEO CHA MIMBA ZA MAPEMA MIONGONI MWA WATOTO POKOT MAGHARIBI.
Mimba za mapema miongoni mwa watoto katika kaunti ya Pokot magharibi zinachangiwa na hali kwamba jamii haijakumbatia swala la kuzungumzia wazi maswala ya ngono kwa watoto kutokana na hali inayotajwa […]
-
WAZAZI WATAKIWA KUKUMBATIA ELIMU KWA WANAO KAMA NJIA MOJA YA KUKABILI WIZI WA MIFUGO.
Wito umetolewa kwa wazazi katika kaunti ya Pokot magharibi kuchukulia kwa uzito swala la kuhakikisha kwamba watoto wao wanapata elimu kama njia moja ya kukabili tatizo la utovu wa usalama […]
-
SERIKALI YAENDELEA KULAUMIWA KUFUATIA KUKITHIRI UTOVU WA USALAMA MPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA.
Wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi wameendeleza shutuma dhidi ya mauaji ya mvulana mmoja mwenye umri wa miaka 18 katika kijiji cha Ompolion wadi ya Kasei wakati alipokuwa akilisha mifugo. […]
-
MIITO YAENDELEA KUTOLEWA KWA WAKAZI MPAKANI PA POKOT MAGHARIBI KUDUMISHA AMANI.
Waziri wa afya kaunti ya Pokot Magharibi Cleah Parkleah ametoa wito kwa wakazi wa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana hasa eneo la mpakani pa kaunti hizi mbili kuendelea […]
-
KENYATTA ASUTWA KWA KUENDELEA KUJIHUSISHA NA SIASA LICHA YA KUSTAAFU.
Kauli ya rais mustaafu Uhuru Kenyatta katika mkutano wa wajumbe wa chama cha jubilee kwamba hatang’atuka katika uongozi wa chama hicho hadi wajumbe wake watakapoamua hivyo, imeendelea kuibua hisia mseto […]
-
WAKAZI WA PARUA WALALAMIKIA KAZI DUNI ILIYOTEKELEZWA NA MWANAKANDARASI KATIKA BARABARA YA KOCHI HADI PARUA.
Wakazi wa eneo la Parua eneo bunge la pokot kusini katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kazi duni ambayo imetekelezwa na mwanakandarasi aliyepewa jukumu la kukarabati barabara ya kutoka Kochi […]
-
MATOZO YALIYOPENDEKEZWA KATIKA MSWADA WA KIFEDHA MWAKA 2023/2024 YAENDELEA KUIBUA HISIA KINZANI NCHINI.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa nchini kufuatia mapendekezo ya rais William Ruto katika mswada wa fedha wa mwaka 2023/2024 ambapo amependekeza kuongeza viwango vya ushuru unaotozwa kwa wakenya ili kufanikisha miradi […]
-
POGHISIO: TUACHIE JUKUMU LA KUBAINI MIPAKA TUME YA UCHAGUZI NA KURATIBU MIPAKA IEBC.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameshutumu mizozo inayozingira mpaka wa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana wakitoa wito kwa viongozi wa kisiasa kutoka pande zote mbili kuwa makini […]
Top News









