News
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA HARAKATI ZA KUIMARISHA UFUGAJI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imejitolea kuhakikisha kwamba inapiga jeki shughuli za wafugaji na kuwawezesha kuimarisha hali yao ya uchumi hasa ikizingatiwa idadi kubwa ya wakazi wa kaunti hiyo […]
-
SHIRIKA LA SPECIAL OLYMPICS LAENDELEZA USAJILI WA WATOTO WENYE ULEMAVU ILI WANUFAIKE KWA ELIMU POKOT MAGHARIBI.
Wazazi eneo bunge la kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuwatoa wanao ambao wanaishi na ulemavu katika zoezi la ukaguzi wa watoto hao linaloendeshwa na shirika la special Olympics […]
-
UHABA WA BARABARA NA MTANDAO WATAJWA KUWA KIZINGITI KATIKA JUHUDI ZA KUWAKABILI WAHALIFU BONDE LA KERIO.
Ukosefu wa barabara nzuri na tatizo la mtandao ni baadhi ya maswala ambayo yanafanya vigumu kukabili hali ya utovu wa usalama maeneo ya mipakani pa kaunti ya Pokot magharibi na […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUPANDA MIMEA KANDO NA KILIMO CHA UFUGAJI.
Wito umetolewa kwa wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi kukumbatia kilimo cha mimea mingine kando na shughuli za ufugaji ili kuhakikisha usalama wa chakula ikiwa moja ya ajenda kuu za […]
-
WAZAZI WAONYWA DHIDI YA KUSALIA NA WANAO NYUMBANI KUFUATIA KARO.
Katibu wa kaunti ya Pokot magharibi Jonathan Siwanyang amewaonya wazazi dhidi ya kuruhusu wanao kusalia nyumbani kwa sababu ya ukosefu wa karo. Akizungumza katika hafla moja huko Soak eneo bunge […]
-
WANASIASA WALIOFELI KWENYE UCHAGUZI WAONYWA DHIDI YA KUHITILAFIANA NA UTENDAKAZI WA VIONGOZI WALIO MAMLAKANI.
Wito umetolewa kwa viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Pokot magharibi hasa waliofeli katika uchaguzi mkuu uliopita kushirikiana na viongozi waliochaguliwa ili kuhakikisha kuwa wananchi katika kaunti hiyo wanapata huduma […]
-
MAKUNDI YA WAKULIMA 67 KUTOKA WADI TATU POKOT MAGHARIBI YANUFAIKA NA MBUZI AINA YA GALA KATIKA JUHUDI ZA KUIMARISHA KILIMO CHA UFUGAJI.
Mradi wa Kenya climate smart Agriculture kwa ushirikiano na serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia idara ya kilimo umetoa mbuzi 622 aina ya gala kwa makundi 67 ya wakulima […]
-
MURKOMEN AWASUTA VIONGOZI WANAOPINGA MSWADA WA FEDHA WA MWAKA 2023.
Waziri wa barabara Kipchumba Murkomen amewasuta baadhi ya viongozi kutoka kaunti ya Pokot magharibi ambao wanapinga mswada wa fedha wa mwaka 2023 ambao unapendekeza ushuru zaidi utakaotumika kufanikisha miradi mbali […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA HARAKATI ZA KUWAHAMI WALIMU WA ECDE KUHUSU MTAALA WA CBC.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia idara ya elimu ya chekechea, early childhood development kwa ushirikiano na shirika la daughters of charity inaendeleza mafunzo kwa walimu wa chekechea kuhusu […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YATAKIWA KUIMARISHA MAZINGIRA YA WAFANYIKAZI KATIKA HOSPITALI YA KACHELIBA.
Wafanyikazi wa idara mbali mbali katika hospitali ya kacheliba kaunti ya Pokot magharibi wameitaka serikali ya kaunti kuangazia hali katika hospitali hiyo ili kuwapa mazingira bora ya kufanyia shughuli zao. […]
Top News









