News
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUPANDA MIMEA KANDO NA KILIMO CHA UFUGAJI.
Wito umetolewa kwa wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi kukumbatia kilimo cha mimea mingine kando na shughuli za ufugaji ili kuhakikisha usalama wa chakula ikiwa moja ya ajenda kuu za […]
-
WAZAZI WAONYWA DHIDI YA KUSALIA NA WANAO NYUMBANI KUFUATIA KARO.
Katibu wa kaunti ya Pokot magharibi Jonathan Siwanyang amewaonya wazazi dhidi ya kuruhusu wanao kusalia nyumbani kwa sababu ya ukosefu wa karo. Akizungumza katika hafla moja huko Soak eneo bunge […]
-
WANASIASA WALIOFELI KWENYE UCHAGUZI WAONYWA DHIDI YA KUHITILAFIANA NA UTENDAKAZI WA VIONGOZI WALIO MAMLAKANI.
Wito umetolewa kwa viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Pokot magharibi hasa waliofeli katika uchaguzi mkuu uliopita kushirikiana na viongozi waliochaguliwa ili kuhakikisha kuwa wananchi katika kaunti hiyo wanapata huduma […]
-
MAKUNDI YA WAKULIMA 67 KUTOKA WADI TATU POKOT MAGHARIBI YANUFAIKA NA MBUZI AINA YA GALA KATIKA JUHUDI ZA KUIMARISHA KILIMO CHA UFUGAJI.
Mradi wa Kenya climate smart Agriculture kwa ushirikiano na serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia idara ya kilimo umetoa mbuzi 622 aina ya gala kwa makundi 67 ya wakulima […]
-
MURKOMEN AWASUTA VIONGOZI WANAOPINGA MSWADA WA FEDHA WA MWAKA 2023.
Waziri wa barabara Kipchumba Murkomen amewasuta baadhi ya viongozi kutoka kaunti ya Pokot magharibi ambao wanapinga mswada wa fedha wa mwaka 2023 ambao unapendekeza ushuru zaidi utakaotumika kufanikisha miradi mbali […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA HARAKATI ZA KUWAHAMI WALIMU WA ECDE KUHUSU MTAALA WA CBC.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia idara ya elimu ya chekechea, early childhood development kwa ushirikiano na shirika la daughters of charity inaendeleza mafunzo kwa walimu wa chekechea kuhusu […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YATAKIWA KUIMARISHA MAZINGIRA YA WAFANYIKAZI KATIKA HOSPITALI YA KACHELIBA.
Wafanyikazi wa idara mbali mbali katika hospitali ya kacheliba kaunti ya Pokot magharibi wameitaka serikali ya kaunti kuangazia hali katika hospitali hiyo ili kuwapa mazingira bora ya kufanyia shughuli zao. […]
-
WAFANYIKAZI WA MRADI WA MAJI WA SIYOI-MURUNY WALALAMIKIA KUTOLIPWA KWA ZAIDI YA MWAKA MMOJA.
Wafanyakazi katika Mradi wa Kusambaza maji wa Siyoi – Muruny wameandamana wakilalamikia kutolipwa mishahara yao ya takriban milioni kumi. Wafanyakazi hao walisema wamepitia changamoto kubwa tangu mradi huo ulipoanzishwa huku […]
-
MAKUNDI MAWILI YA KANISA LA ACK ST. ANDREWS MAKUTANO YAENDELEA KUNYOSHEANA KIDOLE KUFUATIA VURUGU ZA JUMAPILI.
Uongozi wa kanisa la St. Andrews ACK mjini Makutano kaunti ya Pokot magharibi umejitetea kufuatia vurugu zilizoshuhudiwa katika kanisa hilo kwenye ibaada ya jumapili iliyopita. Mzee wa kanisa hilo Geofrey […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MIKAKATI YA KUIMARISHA BIASHARA YA BIDHAA ZA USHANGA.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi inaendeleza mikakati ya kuimarisha juhudi za akina mama ambao wanashona ushanga ili kuinua biashara hiyo ambayo inategemewa zaidi na kina mama wengi katika kaunti […]
Top News









