News
-
SERIKALI YATAKIWA KUENDELEZA MPANGO WA LISHE SHULENI ILI KUKABILI UTAPIA MLO NA KUWAVUTIA WANAFUNZI SHULENI, SARMACH.
Visa vya utapiamlo vimekithiri eneo la Sarmach eneo bunge la Sigor kaunti ya Pokot magharibi kufuatia baa la njaa ambalo linawakabili wakazi wengi wa eneo hilo. Haya ni kulingana na […]
-
DARA YA AFYA POKOT MAGHARIBI YAELEZEA WASI WASI KUHUSU ONGEZEKO LA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA HIV MIONGONI MWA VIJANA.
Takwimu zinaonyesha kwamba kuna ongezeko la maambukizi ya virusi vya HIV hasa miongoni mwa vijana katika kaunti ya Pokot magharibi. Kulingana na mshirikishi wa maswala ya HIV na magonjwa ya […]
-
SHIRIKA LA NRT, POKOT MAGHARIBI LAHIMIZA HAJA YA JAMII KUELIMISHWA KUHUSU ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIA NCHI.
Mkurugenzi wa shirika la NRT kanda ya kaskazini mwa bonde la ufa Rebecca Kochulem ameelezea haja ya jamii kuhamasishwa kuhusiana athari za mabadiliko ya tabia nchi. Akizungumza jumatatu baada ya […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAWASUTA MAAFISA WA POLISI KWA KUWADHULUMU WANANCHI WANAPOENDESHA OPARESHENI YA KIUSALAMA.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuwasuta maafisa wa polisi ambao walivamia kijiji kimoja eneo la Lomut kwa kile walidai kuendeleza oparesheni ya kusaka silaha zinazomilikiwa kinyume cha sheria. […]
-
KANISA LA ST. ANDREWS ACK KAPENGURIA LAENDELEA KUKUMBWA NA MZOZO WA UONGOZI.
Kanisa la kianglikana la St. Andrews dayosisi ya Kapenguria limeendelea kukumbwa na mzozo wa uongozi ambao umetatiza ibaada hapo jana waumini wakilalamikia mbinu inayotumika kuchagua uongozi wa kanisa hilo. Wakiongozwa […]
-
MAAFISA WA USALAMA WASHUTUMIWA KWA KUWADHULUMU WAKAZI WAKATI WA KUENDESHA MSAKO LOMUT.
Mbunge wa Sigor kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong ameshutumu vikali kile ambacho amedai hatua ya maafisa wa jeshi kuendesha msako katika nyumba za wakazi wa eneo la Lomut kwa […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHAKIKISHIWA MAJI SAFI YA MATUMIZI.
Waziri wa maji katika kaunti ya Pokot magharibi Lucky Litole amewahakikishia wakazi wa kaunti hiyo kwamba wizara yake inaendeleza mikakati ya kuhakikisha wanapata maji safi ya matumizi. Litole alisema kwamba […]
-
VIONGOZI WA DINI WATAKA MAZUNGUMZO BAINA YA SERIKALI NA AZIMIO KUWAHUSU WAKENYA.
Viongozi wa kidini katika kaunti ya Pokot magharibi wameunga mkono mazungumzo baina ya serikali na chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya ambayo yananuia kutafuta mwafaka kuhusiana na […]
-
KACHAPIN ATETEA UTENDAKAZI WAKE MWAKA MMOJA TANGU ALIPOINGIA AFISINI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kutetea utendakazi wake mwaka mmoja tangu alipochaguliwa kuongoza kaunti hiyo kwa mara ya pili, huku akiwasuta wakosoaji wake kuwa wanaondeleza siasa […]
-
MASHIRIKA YANAYOPAMBANA NA UKEKETAJI YATAJA UKOSEFU WA UFADHILI KUWA CHANGAMOTO KUU KWA SHUGHULI ZAO.
Mashirika yanayoendeleza vita dhidi ya ukeketaji katika kaunti hii ya Pokot magharibi yametaja ukosefu wa ufadhili wa mashirika hayo kifedha kuwa changamoto kuu katika juhudi zao kuhakikisha kwamba tamaduni hii […]
Top News










