News
-
POLISI WA UGANDA WASUTWA KWA KUHATARISHA USALAMA WA WAKAZI WA KANYERUS POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa Kijiji cha Nasitit eneo la Kanyerus eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kudorora kwa hali ya usalama eneo hilo la mpakani pa kaunti hiyo […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUANZISHA NA KUSAJILI BIASHARA ZAO ILI KUNUFAIKA NA KANDARASI KUTOKA KWA SERIKALI.
Kampuni ya kuzalisha umeme KenGen inaendeleza uhamasisho kwa makundi ya vijana, wanawake pamoja na ya walemavu kuhusu jinsi ya kupata kandarasi za serikali zinazotolewa kwa makundi hayo kwa lengo la […]
-
WANANCHI WATAKIWA KUMPA MUDA RAIS RUTO ANAPOENDELEA KUSHUGHULIKIA GHARAMA YA MAISHA.
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wamemtetea rais William Ruto kutokana na shutuma ambazo zinaelekezwa kwa serikali yake kufuatia sera mbovu za kufufua uchumi ambazo zimetajwa kupelekea kupanda […]
-
WAKAZI WA KANYERUS WAPONGEZWA KWA KUKUMBATIA WITO WA UJENZI WA VYOO.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi ipo tayari kushirikiana na mashirika mbali mbali ambayo yanaendeleza miradi ya kuwanufaisha wakazi wa kaunti hiyo, ili kuhakikisha kwamba wananchi wanapata huduma kwa viwango […]
-
VIONGOZI WA UDA POKOT MAGHARIBI WAPONGEZA HATUA YA KUAHIRISHWA UCHAGUZI WA CHAMA MASHINANI.
Viongozi wa chama cha UDA kaunti ya Pokot magharibi wameunga mkono hatua ya kuahirishwa uchaguzi wa mashinani wa chama hicho ambao ulikuwa umeratibiwa kuandaliwa tarehe 9 mwezi desemba hadi mwezi […]
-
WAFUGAJI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUTOKOMEZA UGONJWA WA MIGUU NA MIDOMO.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia wizara ya kilimo imekeriri kujitolea kuhakikisha kwamba inamaliza ugonjwa wa mifugo wa miguu na midomo, ikitoa wito kwa wafugaji kushirikiana nayo katika juhudi […]
-
SHIRIKA LA DNDI LAANZA KAMBI YA MATIBABU KWA MAGONJWA YALIYOSAHAULIKA POKOT MAGHARIBI.
Shirika la Drugs for Neglected diseases initiative DNDI limeandaa kambi ya matibabu katika shule ya msingi ya St. Comboni Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi kuangazia magonjwa yaliyosahaulika kama vile kala […]
-
WANANCHI WATAKIWA KUIPA MUDA SERIKALI INAPOFANYIA MAGEUZI IDARA YA AFYA.
Katibu katika wizara ya afya Mary Muthoni ametoa wito kwa wakazi katika kaunti ya Pokot magharibi kuipa muda idara ya afya kutokana na mageuzi ambayo yanafanyika kwenye idara hiyo hasa […]
-
IDARA YA POLISI POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MSAKO WA WAHALIFU WALIOWAUA WATU WATATU KAPLON.
Kamanda wa polisi kaunti ya Pokot magharibi Peter Katama ameshutumu vikali mauaji ya watu watatu wakazi wa eneo la Kaplon pokot kaskazini, mauaji ambayo yanakisiwa kutekelezwa na wahalifu wanaoaminika kutoka […]
-
WAHUDUMU WA AFYA CHPs POKOT MAGHARIBI WAPOKEZWA VIFAA VYA KURAHISISHA SHUGHULI ZAO MASHINANI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepongeza serikali kuu kupitia wizara ya afya kwa kuwapokeza wahudumu wa afya wa nyanjani CHPs vifaa ambavyo watatumia katika kutekeleza shughuli zao […]
Top News










