News
-
MABWENI MATATU YA SHULE YA UPILI YA KIWAWA YATEKETEA.
Na Emmanuel Oyasi. Shule ya upili ya wavulana ya Kiwawa eneo la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi inakadiria hasara baada mabweni matatu ya shule hiyo kuteketea usiku wa kuamkia […]
-
MKUTANO WA AMANI BAINA YA JAMII ZA POKOT NA SEBEI WATIBUKA JAMII YA POKOT IKITAJWA KUWA KERO.
Na Benson Aswani. Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kwa ushirikinao na ile ya taifa jirani la Uganda zinaendeleza mikakati ya kudumisha amani na ushirikiano miongoni mwa jamii za Pokot […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YATIA SAINI MKATABA WA USHIRIKIANO NA MAMLAKA YA KVDA.
Na Emmanuel Oyasi.Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imetia saini mkataba wa maelewano na mamlaka ya maendeleo ya Kerio valley KVDA ambao utaiwezesha mamlaka hiyo kushirikiana na serikali ya kaunti […]
-
HATUA YA RAIS RUTO KUKUTANA NA JAJI MKUU YAENDELEA KUVUTIA HISIA MSETO.
Na Emmanuel Oyasi. Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa kufuatia hatua ya rais William Ruto kukutana na jaji mkuu Martha Koome miongoni mwa maafisa wengine kutoka idara ya mahakama na serikali katika […]
-
HOSPITALI YA RUFAA YA KAPENGURIA YAIMARISHA HUDUMA ZA UPASUAJI.
Na Benson Aswani.Hospitali ya Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi imeendelea kuweka mikakati ya kuimarisha huduma kwa wagonjwa wanaohitaji upasuaji.Kulingana na mkuu wa matibabu katika hospitali hiyo Dkt Simon Kapchanga, […]
-
MIRADI YA KILIMO YAPUNGUZA DHULUMA ZA KIJINSIA POKOT MAGHARIBI.
Na Benson Aswani. Mkurugenzi mkuu wa shirika la centre for indigenous child right katika kaunti ya Pokot magharibi Evelyn Prech amepongeza miradi ambayo ilianzishwa na shirika hilo kwa ushirikiano na […]
-
KATAMA: USALAMA UMEIMARIKA BAADA YA KUAJIRIWA MAAFISA WA NPR.
Na Emmanuel oyasi. Idara ya usalama katika kaunti ya Pokot magharibi imewahakikishia wakazi wa maeneo ya mipakani ambayo yamekuwa yakishuhudia utovu wa usalama kwamba hali ya usalama imeimarishwa maeneo haya […]
-
CHAMA CHA KNUT POKOT MAGHARIBI CHASHUTUMU VISA VYA WAZAZI KUVAMIA SHULE KULALAMIKIA MATOKEO.
Na Emmanuel oyasi. Chama cha walimu nchini KNUT kimeshutumu vikali visa ambapo wazazi wamevamia shule maeneo mbali mbali ya nchi kulalamikia matokeo mabaya ya mtihani wa kitaifa kwa kidato cha […]
-
BABA AKAMATWA KWA KUWADHULUMU WANAWE KINGONO LOMUT.
Na Benson Aswani. Visa vya dhuluma dhidi ya watoto vimeendelea kuripotiwa katika baadhi ya maeneo ya kaunti ya Pokot magharibi licha ya juhudi za serikali na baadhi ya mashirika ya […]
-
PKOSING ALALAMIKIA KUHANGAISHWA KUHUSIANA NA HATUA YAKE YA ‘KUWATETEA’ WANANCHI.
Na Benson Aswani Mbunge wa Pokot kusini katika kaunti ya Pokot magharibi David Pkosing ameshutumu hatua ya kuagizwa kuandikisha taarifa katika idara ya uchunguzi wa uhalifu CID kwa madai ya […]
Top News










