News
-
BAADHI YA WANAFUNZI WAKOSA KURIPOTI KATIKA SHULE ZA UPILI POKOT MAGHARIBI LICHA YA MPITO WA ASILIMIA 100.
Na Emmanuel Oyasi. Baadhi ya wanafunzi eneo la Weiwei pokot ya kati katika kaunti ya Pokot magharibi hawajaripoti katika shule za upili ambazo waliitwa licha ya juhudi za serikali kuhakikisha […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKA SHULE ZA MIPAKANI KUPEWA KIPAU MBELE KWA MGAO WA BASARI.
Na Benson Aswani. Viongozi wa maeneo ya mipakani katika kaunti ya Pokot magharibi ambako kumekuwa kukishuhudiwa utovu wa usalama wametoa wito kwa gavana wa kaunti Simon Kachapin kutoa fedha za […]
-
KUFUNGULIWA KANISA LA ELCK DAYOSISI YA KERIO VALLEY KWATAJWA KUWA HATUA KUFIKIA SULUHU KWA UTOVU WA USALAMA MAENEO YA MIPAKANI.
Na Benson Aswani. Swala la utovu wa usalama katika bonde la kerio lilitawala hafla ya kutawazwa rasmi kwa askofu mpya wa kanisa la ELCK dayosisi ya kerio valley ambayo iliandaliwa […]
-
MABWENI MATATU YA SHULE YA UPILI YA KIWAWA YATEKETEA.
Na Emmanuel Oyasi. Shule ya upili ya wavulana ya Kiwawa eneo la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi inakadiria hasara baada mabweni matatu ya shule hiyo kuteketea usiku wa kuamkia […]
-
MKUTANO WA AMANI BAINA YA JAMII ZA POKOT NA SEBEI WATIBUKA JAMII YA POKOT IKITAJWA KUWA KERO.
Na Benson Aswani. Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kwa ushirikinao na ile ya taifa jirani la Uganda zinaendeleza mikakati ya kudumisha amani na ushirikiano miongoni mwa jamii za Pokot […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YATIA SAINI MKATABA WA USHIRIKIANO NA MAMLAKA YA KVDA.
Na Emmanuel Oyasi.Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imetia saini mkataba wa maelewano na mamlaka ya maendeleo ya Kerio valley KVDA ambao utaiwezesha mamlaka hiyo kushirikiana na serikali ya kaunti […]
-
HATUA YA RAIS RUTO KUKUTANA NA JAJI MKUU YAENDELEA KUVUTIA HISIA MSETO.
Na Emmanuel Oyasi. Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa kufuatia hatua ya rais William Ruto kukutana na jaji mkuu Martha Koome miongoni mwa maafisa wengine kutoka idara ya mahakama na serikali katika […]
-
HOSPITALI YA RUFAA YA KAPENGURIA YAIMARISHA HUDUMA ZA UPASUAJI.
Na Benson Aswani.Hospitali ya Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi imeendelea kuweka mikakati ya kuimarisha huduma kwa wagonjwa wanaohitaji upasuaji.Kulingana na mkuu wa matibabu katika hospitali hiyo Dkt Simon Kapchanga, […]
-
MIRADI YA KILIMO YAPUNGUZA DHULUMA ZA KIJINSIA POKOT MAGHARIBI.
Na Benson Aswani. Mkurugenzi mkuu wa shirika la centre for indigenous child right katika kaunti ya Pokot magharibi Evelyn Prech amepongeza miradi ambayo ilianzishwa na shirika hilo kwa ushirikiano na […]
-
KATAMA: USALAMA UMEIMARIKA BAADA YA KUAJIRIWA MAAFISA WA NPR.
Na Emmanuel oyasi. Idara ya usalama katika kaunti ya Pokot magharibi imewahakikishia wakazi wa maeneo ya mipakani ambayo yamekuwa yakishuhudia utovu wa usalama kwamba hali ya usalama imeimarishwa maeneo haya […]
Top News










