Author: Charles Adika
-
HAMASISHO YATOLEWA KWA UMMA KUHUSU UMUHIMU WA KUDAI FIDIA BAADA YA AJALI
Umma umetakiwa kufuata taratibu zinazostahili panapotokea ajali ili kuhakikisha haki inatendeka kwa mwathiriwa.Akitoa hamasisho kwa wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi kuhusu umuhimu wa kufuata fidia, wakili Philip Magal […]
-
-
-
WALUKE AAHIDI KUONGEZA IDADI YA WANAFUNZI WANAONUFAIKA NA CDF ENEO BUNGE LA SIRISIA.
Mbunge wa Sirisia kaunti ya Bungoma John Waluke amesema kuwa anapania kuongeza idadi ya wanafunzi watakaonufaika na mgao wa fedha kutoka hazina ya maendeleo ya maeneo bunge CDF eneo bunge […]
-
WAKAZI 500 KAUNTI YA TURKANA WATARAJIWA KUNUFAIKA NA MIRADI YA MAENDELEO
Zaidi ya wakazi alfu 500 katika kaunti ya Turkana wanatarajiwa kunufaika na miradi mbali mbali ya shilingi milioni 900 zilizotolewa na benki ya dunia.Miradi hiyo ambayo inatekelezwa chini ya mpango […]
-
UJENZI WA SOKO LA SWAM KAUNTI YA TRANS NZOIA WAZINDULIWA RASMI
Kamishina wa kaunti ya trans nzoia Sam Ojwang’ amezindua rasmi ujenzi wa ofisi ya forodha na soko eneo la Swam katika mpaka wa Kenya na Uganda shughuli itakayogharimu takriban shilingi […]
-
SERIKALI YA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBIWA YASUTWA KWA KUDORORA SEKTA YA AFYA
Siku chache tu baada ya maafisa kutoka wizara ya afya kaunti hii ya Pokot magharibi kufika mbele ya bunge la kaunti hii kuhusu afya kujitetea kufuatia madai ya kutelekezwa idara […]
-
SERIKALI YA BUNGOMA YASHUTUMIWA KWA KUTOTIMIZA AHADI YAKE KWA WAFANYIBIASHARA WADOGO WADOGO
Wanaharakati chini ya vuguvuvgu la Bungoma Liberation wameshutumu serikali ya kaunti ya Bungoma kwa kuendelea kuwatoza ada za juu wahudumu wa boda boda licha hali ngumu ya uchumi.Vuguvugu hilo kupitia […]
-
KPLC YAONYA DHIDI YA ‘WIZI’ WA NGUVU ZA UMEME POKOT MAGHARIBI
Kampuni ya Kenya Power kaunti hii ya Pokot magharibi imeonya vikali wakazi dhidi ya kuunganisha umeme kinyume cha sheria ikisema watakaopatikana watachukuliwa hatua kali za sheria.Meneja wa biashara wa kampuni […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAJITETEA KUHUSU MADAI YA KUTELEKEZA SEKTA YA AFYA
Serikali ya kaunti hii ya Pokot Magharibi imejitetea kutokana na madai ambayo yamekuwa yakiibuliwa na baadhi ya viongozi kuwa imeitelekeza idara ya afya hasa hospitali ya kapenguria.Wakifika mbele ya kamati […]
Top News