Author: Charles Adika
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WASHUTUMU KUFURUSHWA MASKWATA KATIKA ARDHI YA ADC.
Viongozi kutoka Kaunti ya Trans Nzoia wameitaka serikali kupitia wizara ya kilimo kuangazia upya kufurushwa kwa maskwata katika ardhi moja inayodaiwa kumilikiwa na shirika la ustawishaji Kilimo nchini ADC.Wakihutubu eneo […]
-
WAHUDUMU WA BODA BODA WATAKIWA KUWA MAKINI DHIDI YA WIZI WA PIKIPIKI.
Vijana katika kaunti hii ya Pokot magharibi wanaonunua pikipiki na kujiunga na sekta ya boda boda wametakiwa kuwa waangalifu na kuchukua tahadhari dhidi ya wizi wa pikipiki ambao umeripotiwa kuongezeka […]
-
NRT YAENDELEZA MAFUNZO KWA WAKULIMA POKOT MAGHARIBI.
Shirika la SEFA chini ya Northern Rangelands Trust NRT limeendelea kutoa mafunzo kwa wakulima katika kaunti hii ya Pokot magharibi kuhusu kilimo bora.Afisa katika shirika hilo Beatrice Hadeny amesema kuwa […]
-
KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI YAPOKEZWA DAWA ZA KIMA CHA SHILINGI M 44.6.
Ni afueni kwa wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi baada ya serikali ya kaunti hii kupokea dawa za kima cha shilingi milioni 44.6 kutoka kwa mamlaka ya kusambaza dawa […]
-
-
-
-
-
-
TRANS NZOIA YAPOKEA DAWA ZA KIMA CHA SHILINGI M 54.7 KUTOKA KEMSA.
Ni afueni kwa wenyeji wa Kaunti ya Trans Nzoia baada ya kaunti hiyo kupokea dawa za kima cha shilingi Milioni 54.7 kutoka mamlaka ya usambazaji dawa na vifaa vya matibabu […]
Top News








