Author: Charles Adika
-
KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI KUSHUHUDIA MVUA CHACHE MWAKA HUU KUTOKANA NA MABADILIKO YA HALI YA ANGA
Ni wazi kuwa mwaka huu hakutashuhudiwa kiwango cha kutosha cha mvua ikilinganishwa na mwaka jana.Haya ni kulingana na katibu katika wizara ya ugatuzi na maeneo kame Mika Powon ambaye alikuwa […]
-
-
-
-
VIONGOZI WA DINI WAANZISHA MIKAKATI YA KUWAHAMASISHA WANANCHI KUHUSU COVID-19.
Viongozi wa dini nchini wameanzisha mikakati ya kuwahamasisha wananchi kuhusu umuhimu wa kuzingatia masharyti ya wizara ya afya katika kuzuia maambukizi ya virusi vya corona.Akizungumza katika warsha ya siku mbili […]
-
CHANJO DHIDI YA UGONJWA WA UKAMBI KUANZA LEO.
Siku moja tu baada ya wizara ya afya kwa ushirikiano na shirika la kimataifa la kuwashughulikia watoto UNICEF kuzindua rasmi chanjo dhidi ya surua yaani Measles, wizara ya afya kaunti […]
-
HISIA ZAENDELEA KUIBULIWA KUHUSU KUBUNIWA CHAMA KIPYA POKOT MAGHARIBI.
Siku chache tu baada ya baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wakiongozwa na mwakilishi wadi maalum Elijah Kasheusheu kupuuzilia mbali kubuniwa chama kipya katika kaunti hii ya […]
-
-
-
Top News