Author: Charles Adika
-
-
-
MARUFUKU YA ‘KWARAKWARA’ YAUNGWA MKONO NA VIONGOZI POKOT MAGHARIBI.
Hatua ya naibu kamishina eneo pokot kaskazini kaunti hii ya Pokot magharibi kupiga marufuku michezo inayojulikana kama nasa kwarakwara eneo hilo imeendelea kupongezwa na baadhi ya viongozi katika kaunti hii […]
-
CHAMA KIPYA POKOT MAGHARIBI CHAZIDI KUPOKEA PINGAMIZI.
Juhudi za kubuniwa chama kipya cha kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi zinazoendelezwa na gavana John Lonyangapuo na mbunge wa pokot kusini David Pkosing zimeendelea kupokea pingamizi kutoka kwa […]
-
MWANARIADHA HOSEA MWOK KUZIKWA LEO MURKWIJIT.
Mwanariadha anayedaiwa kujitia kitanzi katika eneo la murkwijit kaunti hii ya pokot magharibi Hosea Mwok anazikwa leo.Mwili wa Mwok ulipatikana ukining’inia kwa kamba katika ghala la kuhifadhi chakula cha mifugo […]
-
WAKAZI TRANS NZOIA WATAKIWA KUJITOKEZA KUFANYIWA UCHUNGUZI WA MACHO.
Wito umetolewa kwa umma katika kaunti ya Trans nzoia kujitokeza na kufanyiwa uchunguzi wa macho ili kubaini iwapo wanakumbwa na matatizo yoyote mbali na kupata matibabu ya mapema.Wakihutubu baada ya […]
-
-
-
Top News








