Author: Charles Adika
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUENDELEA KUJITOKEZA KUJISAJILI KUWA WAPIGA KURA.
Na Benson AswaniSeneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameendelea kuwashinikiza wakazi hasa vijana walio na vitambulisho kujitokeza kwa wingi kujisajili kuwa wapiga kura katika zoezi la kuwasiliji […]
-
‘SI WAKATI WA KULEGEZA MASHARTI YA KUKABILI COVID 19,’ ASEMA APAKORENG.
Na Benson AswaniWito umetolewa kwa wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi kutolegeza kamba katika kuzingatia masharti ya kukabili maambukizi ya virusi vya corona licha ya takwimu kuonyesha kupungua maambukizi […]
-
WATUMISHI WA UMMA WASTAAFU WATAKA KUONGEZEWA MARUPURUPU.
Na Benson AswaniWatumishi wa umma waliostaafu katika kaunti hii ya Pokot magharibi sasa wanaitaka serikali kuongeza kiwango cha marupurupu ya kustaafu wanayopokea kwa sasa kwa asilimia 3.5.Wakiongozwa na katibu wa […]
-
CALEB AMISI ATEULIWA MWENYEKITI WA ODM TRANS NZOIA
Chama cha ODM tawi la Trans Nzoia kimemteua Caleb Amisi ambaye pia ni mbunge wa saboti kuwa mwenyekiti mpya chama hicho.Kwenye mkao na wanahabari baada ya uteuzi huo uliowahusisha wanachama […]
-
-
-
WANAKANDARASI WAHIMIZWA KUWATUMIA VIJANA WA ENEO LA POKOT KWA KUWAPA KAZI
Wanakandarasi na wasimamizi wa shughuli ya ujenzi wa barabara eneo bunge la Kapenguria katika kaunti hii ya pokot magharibi wametakiwa kuhakikisha kuwa wakazi wa eneo bunge hili ndio watatumika katika […]
-
CHAMA KIPYA CHA KUP CHA KATALIWA POKOT MAGHARIBI NA VIONGOZI WA KAUNTI HIYO
Seneta wa Kaunti hii Daktari Samuel Poghisio ametoa msimamo wake waziwazi kuhusiana Chama Cha KUP ambacho kimezinduliwa hiyo jana katika Jiji la Nairobi akisema kwamba kamwe hatajihusisha na vyama vya […]
-
Top News









