Author: Charles Adika
-
VIONGOZI BARINGO WASHINIKIZA KUBADILISHEA MBINU ZA KUKABILI UTOVU WA USALAMA KAUNTI HIYO.
Pana haja ya kubadilishwa mbinu za kukabili utovu wa usalama unaochangiwa na uvamizi pamoja na wizi wa mifugo kwenye eneo bunge la baringo kaskazini na kusini kwenye kaunti ya baringo.Kulingana […]
-
SERIKALI YA LONYANGAPUO YAZIDI KUKASHIFIWA KWA MADAI YA UFISADI.
Uchaguzi mkuu wa agosti 9 unapokaribia wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa makini na kuweka kwenye mizani kila kiongozi ili kuwachagua viongozi kulingana na rekodi yao ya […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUJISAJILI KWA WINGI KUWA WAPIGA KURA.
Awamu ya pili ya zoezi la kuwasajili wapiga kura wapya likiingia wiki ya pili, miito imeendelea kutolewa kwa vijana ambao hawajajisajili kuhakikisha kuwa wanafika katika vituo vya kuwasajili wapiga kura […]
-
CALEB AMISI APIGWA JEKI KUWANIA TENA UBUNGE SABOTI, TRANS NZOIA.
Mbunge Saboti Caleb Amisi amepigwa jeki katika azma yake ya kuwania tena ubunge wa eneo bunge hilo katika uchaguzi mkuu ujao baada ya mgombea wa kiti hicho kwa chama cha […]
-
MIKAKATI YAENDELEA KUWEKWA KUKABILI MABADILIKO YA HALI YA ANGA TRANS NZOIA.
Shirika la climate change Governance chini ya mradi wa Anglican Development Services kwa ushirikiano na serikali ya Kaunti ya Trans Nzoia zimebuni mfumo utakaowezesha Kaunti ya Trans Nzoia kupata ufadhili […]
Top News









