Author: Charles Adika
-
KAMUREN ATIA SAINI MKATABA NA WASOMI BARINGO KUSINI KATIKA JUHUDI ZA KUPIGA JEKI AZMA YAKE KUHIFADHI KITI CHA UBUNGE ENEO HILO.
Mbunge wa Baringo kusini kwenye kaunti ya Baringo Charles Kamuren ameahidi kwamba uongozi wake utazingatia utoaji wa huduma kwa wakazi iwapo atachaguliwa afisini kwa mara ya pili katika uchaguzi wa […]
-
VIJANA WATAKIWA KUJIUNGA NA VYUO ANUWAI ILI KUPATA UJUZI WA KUJIAJIRI.
Mwakilishi wadi ya Statunga eneo bunge la Cherangani Kaunti ya Trans Dkt Daniel Kaburu amewahimiza vijana waliokamilisha masomo ya shule za upili na wale waliokosa karo ya kuendeleza masomo yao […]
-
TOFAUTI ZAENDELEA KUSHUHUDIWA BAINA YA GAVANA NA NAIBU GAVANA POKOT MAGHARIBI.
Naibu gavana kaunti hii ya Pokot magharibi Nicholas Atudonyang amemsuta vikali gavana John Lonyangapuo kwa kile amedai kuendeleza wizi wa fedha za umma huku wakazi wa kaunti hii wakihangaika kwa […]
Top News









