Author: Charles Adika
-
VIONGOZI WAENDELEA KUMWOMBOLEZA RAIS MUSTAAFU MWAI KIBAKI.
Viongozi mbali mbali nchini wameendelea kumwomboleza rais mustaafu Mwai Kibaki wakimtaja kuwa kiongozi ambaye alipelekea pakubwa kuimarika uchumi wa taifa hili katika utawala wake wa miaka 10.Wa hivi punde kumwomboleza […]
-
WADAU POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA VIWANGO VYA ELIMU.
Ipo haja ya wadau katika sekta ya elimu kaunti hii ya Pokot magharibi kuweka mikakati ya jinsi ya kuimarisha matokeo katika mitihani ya kitaifa kwenye kaunti hii.Akizungumza katika hafla ya […]
-
ODM TRANS NZOIA YAAPA KUSHINDA VITI VINGI VINGI.
Wafuasi wa chama cha ODM Kaunti ya Trans Nzoia wakiongozwa na Moses Masinde wamesema wako tayari kushinda viti vingi kwenye uchaguzi mkuu ujao.Akiongea na wanahabari mjini Kitale baada ya kupokea […]
Top News








