Author: Charles Adika
-
MOROTO ADAI POLISI WANATUMIKA KUWAHANGAISHA WAKAZI KATIKA ARDHI YA CHEPCHOINA.
Mbunge wa Kapenguria Samwel Moroto ameendelea kukashifu kila amedai maafisa wa polisi kutumika kuwahangaisha wakazi kwenye ardhi yenye utata ya Chepchoina mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti […]
-
WAKAZI WA MASOL WALALAMIKIA UHABA WA MAJI NA MKALI YA NJAA.
Wakazi wa eneo la masol katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia uhaba mkubwa wa maji eneo hilo wakiomba serikali kuingilia kati kushughulikia hali hiyo.Wakazi hao wamesema kuwa wanalazimika kutembea […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUWALINDA WAKAZI DHIDI YA ATHARI ZA MAFURIKO ILNG’ARUA BARINGO.
Wakazi wa eneo la ilng’arua katika kaunti ya baringo sasa wanaiomba serikali kuchukua hatua za mapema ili kuhakikisha hakuna maisha yanayopotea msimu huu wa mvua.Kauli yao inajiri baada ya watoto […]
Top News








