Author: Charles Adika
-
WAGOMBEA WA UDA POKOT MAGHARIBI WAKABIDHIWA TIKETI.
Wagombea viti mbali mbali vya kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kujipigia debe kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi agosti mwaka huu.Wakizungumza katika makao makuu ya chama cha UDA […]
-
KACHAPIN AMSUTA LONGAPUO KWA KUHUJUMU MIRADI ALIYOANZISHA POKOT MAGHARIBI.
Mgombea ugavana katika kaunti hii ya Pokot magharibi kwa tiketi ya chama cha UDA Simon Kachapin ameendelea kuelezea sababu za kutaka kupewa fursa nyingine kuongoza kaunti hii katika uchaguzi mkuu […]
-
WANASIASA WAONYWA DHIDI YA SEMI ZA CHUKI TRANS NZOIA.
Mikakati mwafaka imewekwa kuhakikisha kuwa amani inadumishwa wakati wa uchaguzi mkuu wa mwezi agosti mwaka huu.Haya ni kulingana na kamshina wa kaunti ya Trans nzoia Sam Ojwang ambaye amesema kuwa […]
Top News








