Author: Charles Adika
-
JAMII YA SABAOT TRANS NZOIA YAJITENGA NA MATAMSHI YA UCHOCHEZI YA KIONGOZI MMOJA KUTOKA JAMII HIYO.
Jamii ya Sabaot Kaunti ya Trans Nzoia ikiongozwa na Francis Muneria Chemonges imejitenga na matamshi ya uchochezi yanayodaiwa kutolewa na Mwakilishi Wadi mteule katika Wadi ya Machewa hivi majuzi huku […]
-
VIONGOZI WA KIKE POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA KUTENGWA KISIASA.
Viongozi wanawake katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia kile wametaja kuendelea kutengwa licha ya kuwa wanapasa kuwa na viti zaidi katika chaguzi za humu nchini.Wakiongozwa na mwenyekiti wa mtandao […]
-
BUNGE LA KAUNTI POKOT MAGHARIBI LAOMBOLEZA KIFO CHA KIONGOZI WA WENGI.
Bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi limemwomboleza aliyekuwa kiongozi wa wengi katika bunge hilo Thomas Ng’olesia.Akituma risala za rambi rambi kwa niaba ya bunge hilo, Spika Catherine Mukenyanga amemtaja […]
-
WAKULIMA TRANS NZOIA WATAKIWA KUWA MACHO KUHUSIANA NA UVAMIZI WA VIWAVI JESHI.
ya kilimo katika kaunti ya Trans nzoia imeonya kuhusu uwepo wa viwavi jeshi katika baadhi ya maeneo na kuwataka wakulima kuhakikisha wanaripoti visa hivyo mapema endapo vitatokea.Waziri wa kiliimo kaunti […]
-
MCHUJO WA UDA WAZIDISHA MACHOZI ELGEYO MARAKWET.
Aliyekuwa inspekta mkuu wa polisi Joseph Boinett amejitokeza na kupinga matokeo ya mchujo wa chama cha UDA katika kinyang’anyiro cha ugavana kaunti ya Elgeyo marakwet akidai matokeo yalikarabatiwa kumpendelea naibu […]
Top News








