Author: Charles Adika
-
POGHISIO ATOA WITO WA KUZIDISHWA JUHUDI ZA KUTWAA SILAHA HARAMU MAENEO KAME.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameelezea kusikitishwa na umiliki wa hali ya juu wa bunduki miongoni mwa raia nchini hasa maeneo kame.Akirejelea kisa cha kujipiga risasi […]
-
WAZAZI WALALAMIKIA GHARAMA YA JUU YA BIDHAA ZA SHULE WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA WAKISAJILIWA.
Usajili wa wanafunzi ambao wanajiunga na kidato cha kwanza ukiendelea kote nchini baada ya shughuli hiyo kung’oa nanga jumatano, wazazi katika kaunti hii ya Pokot Magharibi wakilalamikia kupanda kwa gharama […]
-
UTOVU WA USALAMA BARINGO WAATHIRI USAJILI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA.
Huenda utovu wa usalama katika kaunti ya Baringo ukaathiri hatma ya baadhi ya wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza baada yaw engine kulazimika kuyahama makazi yao.Baadhi ya wanafunzi katika eneo […]
-
IEBC YAPONGEZWA KWA KUSHINIKIZA THULUTHI MBILI YA JINSIA YA WAGOMBEA KATIKA VYAMA VYA KISIASA.
Viongozi wa kike katika kaunti ya Trans nzoia wameipongeza tume ya uchaguzi na mipaka IEBC kwa kuvishinikiza vyama vya kisiasa kuwasilisha orodha ya wagombea wao ambayo inaafiki thuluthi mbili ya […]
Top News









