Author: Charles Adika
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATISHIA KUISHITAKI UINGEREZA KUFUATIA DHULUMA DHIDI YA WAKAZI ENZI ZA UKOLONI.
Viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametishia kuishitaki serikali ya uingereza kwenye mahakama ya kimataifa kufuatia dhuluma zilizoendelezwa na serikali hiyo kwa jamii ya Pokot wakati wa vita vya […]
-
WANASIASA WAONYWA DHIDI YA KUWATISHIA WALIMU POKOT MAGHARIBI.
Katibu mkuu wa chama cha walimu nchini Knut tawi la Pokot magharibi Martine Sembelo ameonya vikali dhidi ya kutishiwa walimu kwa lengo la kuwataka kuunga mkono wanasiasa fulani katika uchaguzi […]
-
KHAEMBA ALAUMIWA KWA KUTOFANIKISHA MAENDELEO TRANS NZOIA.
Spika wa bunge la kaunti ya Trans nzoia Joshua Werunga amemlaumu gavana wa kaunti hiyo Patrick Khaemba kwa kutofanikisha miradi ya maendeleo licha ya serikali ya kaunti hiyo kutengewa mgao […]
-
VIONGOZI WAENDELEA KUMWOMBOLEZA RAIS MUSTAAFU MWAI KIBAKI.
Viongozi mbali mbali nchini wameendelea kumwomboleza rais mustaafu Mwai Kibaki wakimtaja kuwa kiongozi ambaye alipelekea pakubwa kuimarika uchumi wa taifa hili katika utawala wake wa miaka 10.Wa hivi punde kumwomboleza […]
-
WADAU POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA VIWANGO VYA ELIMU.
Ipo haja ya wadau katika sekta ya elimu kaunti hii ya Pokot magharibi kuweka mikakati ya jinsi ya kuimarisha matokeo katika mitihani ya kitaifa kwenye kaunti hii.Akizungumza katika hafla ya […]
Top News









