Author: Charles Adika
-
KIJANA MMOJA ENEO LA KAIBOS AUMIZWA SEHEMU NYETI NA MAAFISA WA POLISI WA KITUO CHA KAIBOS KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Familia moja eneo bunge la Kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi inalilia haki kufuatia madai ya jamaa yao kukamatwa na kudhulumiwa na maafisa watatu wa polisi wa kituo cha Kaibos […]
-
WITO WATOLEWA KWA MAAFISA WA POLISI KUFANYA UCHUNGUZI KUHUSIANA NA UVAMIZI ULIOSHUHUDIWA ENEO LA KAINUK KITALE LODWAR
Viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kulaani kisa ambapo gari moja lililokuwa likisafiri kutoka Lodwar kaunti ya Turkana kueleka Kitale lilidaiwa kumiminiwa risasi na watu wanaoaminika kuwa wavamizi.Wa […]
-
WAGOMBEZI HURU WASHAURIWA KUJA PAMOJA NA KUTATUA MGOGORO UNAOWAKUMBA ENEO LA ENDEBES KAUNTI YA TRANSNZOIA
Wazee wa jamii ya luhya eneo bunge la endebes kaunti ya transnzoia wameanzisha mikakati ya kuwaweka pamoja wagombezi huru eneo hilo ilikupata mwaniaji mmoja mwenye umaarufu ilikuimarisha nafasi yao ya […]
Top News







