Author: Charles Adika
-
UTOVU WA USALAMA WAENDELEA KUSHUHUDIWA MIPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA ELGEYO MARAKWET.
Viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kushutumu uvamizi ambao unaendelea kushuhudiwa mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet.Wakiongozwa na seneta wa kaunti […]
-
SERIKALI YA GAVANA LONYANGAPUO YALAUMIWA KUFUATIA KIFO CHA MWAKILISHI WADI YA LELAN.
Mbunge wa Kapenguria kaunti hii ya Pokot Magharibi Samwel Moroto amelaumu utepetevu wa serikali ya gavana John Lonyangapuo kufuatia kifo cha mwakilishi wadi ya Lelan Johnson Lokato.Akizungumza na kituo hiki […]
-
UTEUZI WA KARUA KUWA MGOMBEA MWENZA WA RAILA WAENDELEA KUPONGEZWA.
Baada ya mgombea wa urais katika muungano wa Azimio la Umoja Raila Odinga kumuteua Martha Karua kuwa mgombea mwenza, sherehe zilisheheni katika mji wa Kitale kina Mama wakisifia hatua ya […]
Top News







