Author: Charles Adika
-
MTU MMOJA AULIWA KUFUATIA UVAMIZI TILAKAI POKOT MAGHARIBI.
Mtu mmoja ameuliwa huku wengine watatu wakiuguza majeraha mabaya baada ya shambulizi lililotokea katika vijiji vya Tilakai, Chepkokogh na Cheratak kwenye Wadi ya Lomut Pokot Magharibi.Uvamizi huo umetekelezwa na majambazi […]
-
POGHISIO APUUZA MADAI YA KUWEPO MPANGO WA KUMUUNGA MGOMBA MMOJA WA UGAVANA POKOT MAGHARIBI CHINI YA AZIMIO.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amepuuzilia mbali madai kuwa kaunti hii imetengewa mgombea mmoja chini ya muungano wa azimio la umoja one Kenya kwa wadhifa wa […]
-
VIONGOZI WA DINI WAANDAA MAOMBI YA AMANI BARINGO.
Viongozi wa baraza la madhehebu mbali mbali kwenye kaunti ya baringo kwa ushirikiano na wale wa kisiasa katika eneo bunge la baringo kusini wameandaa mkutano wa pamoja kwa ajili ya […]
Top News








