Author: Charles Adika
-
KINYANG’ANYIRO CHA USPIKA CHASHIKA KASI POKOT MAGHARIBI
Kinyang’anyiro cha kumtafuta spika wa bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi kimeshika kasi huku wagombea 8 wakionyesha nia ya kuwania wadhifa huo.Miongoni mwa waliotangaza kuwania kiti hicho ni wakili […]
-
TODOSIA AAPA KUAFIKIA MATAKWA YA WANANCHI PUNDE BAADA YA KUAPISHWA.
Mwakilishi wadi mteule wa mnagei katika kaunti hii ya Pokot magharibi Richard Todosia amewapongeza wakenya kuwa kuendelea kudumisha amani kipindi chote cha uchaguzi hadi pale mahakama ya juu ilipodumisha ushindi […]
-
WAAKILISHI WADI TRANS NZOIA WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA GAVANA NATEMBEYA.
Viongozi wa kidni katika kaunti ya Trans nzoia wamewataka waakilishi wadi katika kaunti hiyo kushirikiana na gavana George Netembeya na kuhakikisha kuwa wanapitisha miswada muhimu ili kuiwezesha kaunti hiyo kuimarika […]
Top News








