Author: Charles Adika
-
UKEKETAJI WA WASALIA KIZUNGUMKUTI POKOT MAGHARIBI.
Visa vya ukeketaji vimesalia changamoto kuu katika kaunti nyingi za wafugaji hali ambayo mashirika ya haki za wanawake yametaja kuwa inatokana na ukosefu wa elimu miongoni mwa wakazi wengi wa […]
-
GAVANA KACHAPIN AKAGUA KIWANDA CHA KUCHINJA MIFUGO CHA NASUKUTA ENEO LA POKOT KUSINI
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amewahakikishia wakazi wa kaunti hii kwamba kiwanda cha nyama cha Nasukuta kitaanza rasmi kuhudumu mapema mwaka ujao.Akizungumza baada kuzuru kiwanda hicho […]
-
MOSES WETANGULA ATEULIWA KUWA SPIKA WA BUNGE LA KITAIFA
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Bungoma Moses Wetangula sasa ndiye spika wa bunge la kitaifa.Wetangula alitangazwa mshindi baada ya duru ya pili ya uchaguzi kukosa kufanyika kufuatia hatua ya Kenneth […]
Top News









