Author: Charles Adika
-
WAKAAZI WAOMBWA KUWA NA SUBIRA WAKATI MAHAKAMA INAPOENDELEA KUSIKILIZA KESI KUPINGA MATOKEO YA URAIS
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi kuendelea kuwa na subra wakati mahakama ya juu ikiendelea kusikiliza na hata itakapotoa uamuzi wake kuhusu kesi za kupinga ushindi […]
-
GAVANA WA POKOT MAGHARIBI AWAHAKIKISHIA WAKAAZI AHADI ZOTE ALIZOTOA WAKATI WA KAMPEINI
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi amewahakikishia wakazi wa kaunti hii kuwa atahakikisha anatekeleza ahadi ambazo alitoa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa tarehe 9 mwezi agosti mwaka […]
-
RUTO ATETEA USHINDI WAKE MAHAKAMANI ALHAMISI.
Vikao vya kusikiliza kesi ya kupinga ushindi wa rais mteule William Ruto vinaingia leo siku ya pili baada ya kuaza rasmi hiyo jana.Leo ni zamu ya mawakili wa Ruto na […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUHAKIKISHA USALAMA ENEO LA SEKER POKOT MAGHARIBI.
Chifu wa seker eneo la Sigor katika kaunti hii ya Pokot magharibi Charles Chebushen ameelezea haja ya kupelekwa vitengo vya usalama eneo hilo ili kuhakikishia wakazi wa eneo hilo usalama […]
Top News









