Author: Charles Adika
-
WAKAZI MARIGAT WAKADIRIA HASARA KUFUATIA MAFURIKO YALIYOKUMBA MJI HUO WIKENDI.
Serikali ya kaunti ya Baringo imeahidi kuweka mikakati ya kudhibiti mafuriko kwenye eneo la marigat, eneo bunge la Baringo kusini baada ya mkasa wa jumamosi uliojiri kufuatia mvua kubwa iliyonyesha.Akiongea […]
-
KACHAPIN ATOA ONYO KALI DHIDI YA WAFANYIKAZI HEWA.
Gavana wa kaunti ya Pokot maghaibi Simon Kachapin amesema kuwa seikali yake itafanyia ukaguzi wafanyikazi wake.Kachapin amesema kuwa ilivyo kwa sasa kaunti hii ina wafanyikazi wengi hewa ambao wanapokea mishahara […]
-
HATIMA YA KESI KUHUSU MATOKEO YA URAIS KUBAINIKA LEO.
Macho yote sasa yameelekezwa kwa jopo la majaji saba wa Mahakama ya juu wanapotarajiwa kutoa uamuzi wao kuhusiana na kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa agosti 9 mwaka huu.Ni […]
Top News








