Author: Charles Adika
-
KUONDOLEWA KWA SHULE ZA MABWENI YAKOSOLEWA NA MBUNGE WA KAPENGURIA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamepinga vikali mipango ya serikali kuondoa shule za mabweni ilivyotangazwa na katibu katika wizara ya elimu Belio Kipsang. Kipsang alisema kwamba […]
-
WANAFUNZI WAFAIDI NA MPANGO WA KCB FOUNDATION POKOT MAGHARIBI
Benki ya KCB kupitia wakfu wa KCB foundation inaendelea kuweka mikakati ya kuwafadhili wanafunzi zaidi werevu kutoka jamii zisizojiweza kaunti hii ya Pokot magharibi. Akizungumza baada ya kukutana na wanafunzi […]
-
MWANAMME MMOJA ANASAKWA BAADA YA KUOA MSICHANA WA MIAKA KUMI NA TATU KACHELIBA POKOT MAGHARIBI
Mwanamme mwenye umri wa makamu anatafutwa na Polisi Katika Eneo la Kacheliba baada ya kuoa msichana mwenye umri wa miaka kumi na mitatu katika Kijiji cha Koroa kwenye Wadi ya […]
-
WANANCHI WA LOKICHAR NA MASOL WANUFAIKA NA CHAKULA KUTOKA KWA BENKI YA KCB KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Benki ya KCB tawi la Pokot magharibi kupitia wakfu wa KCB foundation imezindua mpango wa siku mbili wa kutoa chakula cha msaada kwa wakazi wa lokesheni za Lokichar eneo la […]
Top News








