Author: Charles Adika
-
MIKUTANO YA AZIMIO YAUNGWA MKONO NA WAJUZI WA SHERIA POKOT MAGHARIBI.
Baadhi ya wajuzi wa maswala ya kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameunga mkono mikutano ya umma ambayo inatarajiwa kuandaliwa na chama cha muungano wa azimio la umoja one […]
-
VIONGOZI WA KUP WATOFAUTIANA KUHUSU HATIMA YA CHAMA HICHO KWENYE MRENGO WA AZIMIO.
Masaa machache tu baada ya kiongozi wa chama cha KUP aliyekuwa gavana wa kaunti ya Pokot magharibi John Lonyangapuo kutangaza kuondoa chama hicho katika muungano wa azimio la umoja, mbunge […]
-
VYAMA VYA USHIRIKA POKOT MAGHARIBI VYALENGA KUANZISHA UPANZI WA MACADAMIA, KUBORESHA KILIMO BIASHARA.
Kama njia moja ya kuinua na kuboresha kilimo cha kahawa, vyama vya ushirika kaunti hii ya Pokot Magharibi kupitia mwenyekiti wao Samson kamarich vimesema kuwa wana nia ya kuanzisha upanzi […]
Top News








