Author: Charles Adika
-
SHINIKIZO ZAENDELEA KUTOLEWA KWA RAIS KUTIMIZA AHADI ZAKE KWA WAKENYA.
Zaidi ya siku 100 tangu rais William Ruto kuingia afisini, shinikizo zimeendelea kutolewa kwake kuhakikisha kwamba anatekeleza ahadi alizotoa kwa wananchi kwamba angetekeleza ndani ya siku hizo 100 baada ya […]
-
MAAFISA WA KWS WALAUMIWA KWA KUTELEKEZA MAJUKUMU YAO HUKU WANANCHI WAKIHANGAISHWA NA WANYAMAPORI KACHELIBA.
Maafisa wa idara ya wanyamapori katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuwadhibiti wanyama pori ambao wamekuwa wakiwahangaisha wakazi wa eneo la Kacheliba katika kaunti hii. Msimamizi wa kaunti ndogo […]
Top News







