Author: Charles Adika
-
VIONGOZI BONDE LA KERIO WAENDELEA KULAANI MAUAJI YA WANAFUNZI WAWILI KAUNTI YA ELGEYO MARAKWET.
Siku kadhaa baada ya majangili waliojihami kwa bunduki kuwauwa kwa risasi wanafunzi wawili katika kaunti ya Elgeiyo marakwet, mbunge wa Tiaty katika kaunti ya Baringo William Kamket ameongoza mkutano wa […]
-
SHINIKIZO ZAENDELEA KUTOLEWA KUBUNI MUUNGANO MMOJA WA WANAFUNZI WA VYUO NA WALE WA VYUO VIKUU POKOT MAGHARIBI.
Ipo haja kwa wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu katika kaunti hii ya Pokot magharibi kuungana na kubuni muungano mmoja.Haya ni kwa mujibu wa aliyekuwa naibu mwenyekiti wa muungano wa […]
-
WAKAZI WA ELGEYOI MARAKWET WATAKIWA KUDUMISHA AMANI WANAPOTARAJIWA KUELEKEA DEBENI.
Siku moja kabla ya kufanyika uchaguzi mdogo wa useneta kwenye kaunti ya elgeyo marakwet na kwingineko nchini wito unatolewa kwa Wakaazi wa eneo hilo pamoja na viongozi katika maeneo ambako […]
-
HOSPITALI YA ORTUM YACHUNGUZWA KUHUSIANA NA KISA CHA KUNYOFOLEWA BAADHI YA VIUNGO VYA MTOTO ALIYEZALIWA AKIWA TAYARI AMEFARIKI.
Hospitali ya kimisheni ya Ortum katika kaunti hii ya Pokot magharibi inachunguzwa kufuatia kisa ambapo baadhi ya viungo vya mwili wa mtoto uliohifadhiwa katika chumba cha kuhifadhi maiti cha hospitali […]
Top News








