Author: Charles Adika
-
VIONGOZI WA KISIASA WALAUMIWA KUFUATIA KUDORORA MAADILI MIONGONI MWA JAMII.
Viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Pokot Magharibi wamelaumiwa kutokana na kupotoka maadili miongoni mwa jamii hasa vijana.Mwakilishi wadi ya Mnagei Richard Todosia alisema kwamba viongozi wa kisiasa ndio wamekuwa […]
-
HOSPITALI YA KACHELIBA YAKABIDHIWA MTAMBO WA JENERETA KUKABILI TATIZO LA NGUVU ZA UMEME.
Wakazi wa eneo la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamepata afueni baada ya serikali ya kaunti kupitia idara ya afya kuikabidhi hospitali ya Kacheliba mtambo wa jenereta ambao utatumika […]
-
WAFANYIBIASHARA MJINI MAKUTANO POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA KUKITHIRI WIZI.
Wafanyibiashara mjini makutano katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa waangalifu hasa msimu huu ambapo visa vya wizi vimetajwa kukithiri.Hii ni baada ya wasichana wawili kunaswa hiyo jana wakijaribu […]
Top News









