Author: Charles Adika
-
VIONGOZI WA MAENEO KAME NCHINI WATOFAUTIANA NA WANAOSHINIKIZA MABADILIKO YA KATIBA.
Shinikizo zikiendelea kutolewa kufanyia katiba ya sasa marekebisho ili kutekelezwa maswala mbali mbali ya uongozi wa sasa, baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamepinga jaribio lolote la […]
-
VIONGOZI BONDE LA KERIO WATAKIWA KUSHIRIKIANA KATIKA JUHUDI ZA KUTAFUTA SULUHU KWA UTOVU WA USALAMA.
Miito imeendelea kutolewa kwa wadau katika kaunti hii ya Pokot magharibi kushirikiana katika kuweka mikakati ya kuhakikisha kwamba amani inadumishwa katika kaunti hii na kaunti zinazopatikana katika bonde la kerio.Wa […]
-
USHIRIKIANO MIONGONI MWA RAIA NA POLISI BONDE LA KERIO WATAJWA KUCHANGIA KUPUNGUA UHALIFU.
Mbunge wa Kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amepongeza ushirikiano uliopo baina ya raia na maafisa wa usalama katika kaunti hiyo hasa maeneo ya mipakani ambapo kumekuwa […]
Top News







