Author: Charles Adika
-
GAVANA KACHAPIN AMSUTA PKOSING KWA MADAI YA KUTUMIA VYOMBO VYA HABARI KUMHARIBIA SIFA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amemsuta vikali mbunge wa pokot kusini David Pkosing kwa kwa kile alisema kutumia vyombo vya habari kumharibia sifa machoni pa wakazi. Katika […]
-
WAZAZI BARINGO WALAUMIWA KWA KUWAFICHA WANAO WENYE ULEMAVU.
Wazazi katika kaunti ya Baringo wametakiwa kutowaficha wanao walio na changamoto ya ulemavu na badala yake wawasajili katika idara za serikali ili kuhakikisha kwamba wanashughulikiwa ipasavyo. Akiongea mjini kabarnet mkurugenzi […]
-
MBUNGE WA SABOTI ATAKA KUBUNIWE HAZINA YA USTAWISHAJI MAENEO YA WADI.
Mbunge wa Saboti katika kaunti ya Trans nzoia Caleb Amisi amesema kwamba atahakikisha waakilishi wadi wanapokea fedha za ustawishaji maeneo wadi kutoka kwa serikali ya kaunti katika juhudi za kuhakikisha […]
-
WAKULIMA WA ZAO LA MAHINDI WASHABIKIA HATUA YA SERIKALI KUSITISHA MIPANGO YA KUAGIZA MAHINDI KUTOKA NJE YA NCHI.
Wakulima na viongozi kaskazini mwa bonde la ufa wamesifia hatua ya serikali kusitisha uagizaji wa mahindi kutoka mataifa ya kigeni wakisema hatua hiyo itawapa fursa ya kuuza mahindi yao kwa […]
Top News










