Author: Charles Adika
-
IDARA YA USALAMA POKOT MAGHARIBI YATAKIWA KUWAJIBIKA NA KUWAKABILI WAHALIFU MAKUTANO.
Naibu gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Robert Komole ameitaka idara ya usalama katika kaunti hii kushirikiana na viongozi katika kuhakikisha kwamba usalama wa wakazi wa kaunti hii unaimarishwa. […]
-
MBUNGE WA POKOT KUSINI AONYWA DHIDI YA KUMHARIBIA JINA GAVANA WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendeleza shutuma dhidi ya mbunge wa Pokot kusini David Pkosing kwa kile amesema kwamba kutumia vyombo vya habari kumharibia jina. Akizungumza […]
Top News






