Author: Charles Adika
-
MAENEO YA MIPAKANI YATAJWA KUWA CHANGAMOTO KATIKA VITA DHIDI YA UKEKETAJI POKOT MAGHARIBI.
Shirika la world Vision limeelezea kuafikia ufanisi mkubwa katika vita dhidi ya dhuluma za kijinsia ikiwemo ukeketaji na kuozwa mapema watoto wa kike eneo la Alale katika kaunti ya Pokot […]
-
WAKULIMA WATAKIWA KUJISALI KATIKA MAKUNDI YATAKAYOWAWEZESHA KUJIIMARISHA.
Wito umetolewa kwa wakulima katika kaunti hii ya Pokot magharibi kujiunga na mashirika mbali mbali yatakayowawezesha kuhifadhi fedha zao kwa manufaa ya shughuli zao hasa katika kutekeleza miradi mbali mbali […]
Top News







