Author: Charles Adika
-
MWAMKO MPYA KWA ELIMU NA DINI KERIO VALLEY.
Kunashuhudiwa mwamko mpya eneo la bonde la kerio baada ya shirika la Christian impact Mission, serikali na wadau wengine pamoja na wakazi kuanza kuinua elimu na dini kwenye eneo hilo […]
-
WAZAZI WATAKIWA KUWA MAKINI NA WANAO WAKATI HUU WA LIKIZO NDEFU.
Wazazi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa waangalifu na wanao hasa wakati huu ambapo wanafunzi wapo nyumbani kwa likizo ndefu ya mwezi desemba.Ni wito wake mshirikishi wa baraza […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUNUNUA MAHINDI NORTHRIFT NA KUWAPELEKEA WANAOKABILIWA NA MAKALI YA NJAA.
Kanisa la Kianglikana Diosisi ya Kitale kaunti ya Trans nzoia limetoa wito kwa serikali kuingilia kati kwa haraka na kusaidia kwa kuwapa chakula waathiriwa wa baa la njaa na kiangazi […]
-
VISA VYA MIMBA MIONGONI MWA WATAHINIWA WA KIKE VYAENDELEA KURIPOTIWA.
Jumla ya watahiniwa 87 walipachikwa mimba katika Kaunti ya Pokot Magharibi. Kulingana na wizara ya Elimu Kaunti ya Pokot Magharibi, darasa la nane linaongoza kwa idadi ya waliopachikwa mimba ikiwa […]
Top News









