Author: Charles Adika
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YATARAJIWA KUZINDUA ZOEZI LA KUWACHANJA MIFUGO.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin anatarajiwa kuongoza shughuli ya mwezi mmoja ya kuchanja mifugo ambayo inatarajiwa kuanza tarehe 8 mwezi Desemba. Akizungunza na wanahabari Kachapin alisema kwamba […]
-
WAKAZI MASOL WANUFAIKA NA MRADI WA UJUZI MANYATANI.
Zaidi ya wakazi 600 kutoka kaunti za wafugaji wamenufaika kutokana na mradi wa ujuzi manyatani ambao unatoa mafunzo ya kiufundi kwa wakazi katika kaunti hizi ili kuwapa uwezo wa kujiendeleza […]
Top News







